Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,308
- 1,423
Hamjambo wanaJamii Forum wenzangu. Napenda kuitumia nafasi hii kuipongeza serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi madhubuti wa Rais wetu John Pombe Magufuli kwa kutilia mkazo kudhibiti mwendokasi wa mabasi yaendayo mikoani, kwa kumulika vitochi na kuratibu muda wa kuondoka na kufika na sasa ajali hazisikiki tena a.k.a zimekwisha.
Naomba udhibiti huo uendelee lisiwe jambo la mpito, namuomba mwenyezi MUNGU azidi kuwajazia wingi wa hekima na mafanikio katika kuzitenda kazi zenu, muendelee na kubuni mbinu zingine za kudhiti ajali za barabarani ili waTanzania tuishi maisha yenye furaha na kujiamini, asanteni sana.
Naomba udhibiti huo uendelee lisiwe jambo la mpito, namuomba mwenyezi MUNGU azidi kuwajazia wingi wa hekima na mafanikio katika kuzitenda kazi zenu, muendelee na kubuni mbinu zingine za kudhiti ajali za barabarani ili waTanzania tuishi maisha yenye furaha na kujiamini, asanteni sana.