Pongezi kwa Mh. Paul Makonda

Pongezi kwa Mh. Paul Makonda

Huu ni msumari wa moto
Acha kutaja jina la Allah dhidi ya huyo muovu mtekaji.Mpaka leo hajasema siku lissu anashambukiwa risasi alikua wapi an anafanya nini?
Anadhulumu wahindi wa watu pesa kisha anakuja kujisafisha mbele ya jamii kwa kutoa misaada.
Hembu muulize hizo pesa kazipata wapi?kama siyo haramu tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe itakuwa ulikuwa muuza ngada,mh kawafurusha umejenga chuki,maana si kwa chuki hii

Sent using Jamii Forums mobile app

Umegeuka mpiga ramli?

Unanijua?

Hunijui,what chu said is wrong,piga ramli again huenda ukapatia!

Makonda kanifanya nini?Nothing

Ni mpumbavu kama ulivyo wewe na wengine wa aina yako ya kujipendekeza kwa mwenye cheo!

Good riddance!
 
Kunywa maji moyo ueleee,naona umejaa hasira kama koboko
Umegeuka mpiga ramli?

Unanijua?

Hunijui,what chu said is wrong,piga ramli again huenda ukapatia!

Makonda kanifanya nini?Nothing

Ni mpumbavu kama ulivyo wewe na wengine wa aina yako ya kujipendekeza kwa mwenye cheo!


Good riddance!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda anasaidia sana na ana moyo,ila hana nyota ya kupendwa au alianza siasa zake vibaya,ukitaka kujua hilo ndo maana tunamzungumzia hapa،chochote atakachofanya itaonekana ni kiki tu,ila anasaidia sana,yaani nature yenyewe tu imemkataa
 
Binafsi Mimi namkubali sana,na watu huwa hatujiulizi tuna wakuu wa mkoa wa ngapi na wanajitoaje ukilinganisha na Mh .Makonda, Mungu amjalie sana
Makonda anasaidia sana na ana moyo,ila hana nyota ya kupendwa au alianza siasa zake vibaya,ukitaka kujua hilo ndo maana tunamzungumzia hapa،chochote atakachofanya itaonekana ni kiki tu,ila anasaidia sana,yaani nature yenyewe tu imemkataa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom