Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,227
- 40,718
Duuh hajafika huko kwakweli
Duuh hajafika huko kwakweli
Aaah hajafikia huko kwakweliRasul maana yake ni mjumbe
Rasuul llah ni mjumbe wa mwenyezimungu
[emoji23]kwa mwenzio kafika yani anahadhi ya utume wakati ni walewale wanachuna fedha kwa njia ile ingine halafu wanaishia kujenga miskiti na makanisa[emoji23]Aaah hajafikia huko kwakweli
Uzi wako ungeweka na namba ya simuInaonekana wewe unabenda sana kinyume nyume,sasa Mimi siko kihivo,ndo maana napenda kimbelembele
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee stop this nonsense aisee
Aaahaha kazi sana[emoji23]kwa mwenzio kafika yani anahadhi ya utume wakati ni walewale wanachuna fedha kwa njia ile ingine halafu wanaishia kujenga miskiti na makanisa[emoji23]
Ili iweje? Unajaribu kuriziba jua kwa ungo? Makonda is next level and has nothing to do with your uselles jealous.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umasikini mbaya sana. Utaabudu mpaka mavi ya mende
Ehh!Ili iweje? Unajaribu kuriziba jua kwa ungo? Makonda is next level and has nothing to do with your uselles jealous.
Sent using Jamii Forums mobile app
We unachuki binafsi na mh,maana tayari umeeshahama kwenye hojaEhh!
Mbn unataka kurusha ngumi
We ungeweka # ya Sim utafutwe upewe pongezi
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Nonsense to you,but to those who are served by Hon.P.Makonda is very,very useful
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewe mbwisi, aliyempiga risasi Mh Lisu ni Mbowe. Ndiyo maana kampa zawadi ya umakamu mwenyekiti ili kumpoza na ikiwezekana amalize vizuri kwa huo ukaribu. Mbowe ndiye ana rekodi ya kuua wapinzani (Chacha Wangwe etc, Dr Slaa alikimbia nchi baada ya genge la Mbowe kumkosa kosa kumuua).
You can declare kabisa hii ni special kwa hao watu..
No one would click on this shitty post
Hivi ndio vinywaji gani?Yani rasul llah kawa makonda?![emoji23] nirudishie chenchi nishuke
Huyo huenda katumwa nyumbani kwako lakini sii katika dunia ya haki na amaniHayo ya kumuliza kazipate ni sijui,halafu acha kuingilia lugha za watu,lasul Allah maana yake ni mjumbe wa Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app