Pongezi Dr. Kitila Mkumbo

Pongezi Dr. Kitila Mkumbo

Status
Not open for further replies.
Huyo Kitila amesema yeye sio kiongozi cdm.......alijiondoa kitambo kwa mujibu wa barua yake kwa muajiri wake udsm.Kitila hiyo ndo style yake hakuwa na siasa za jukwaani wala media zaidi siasa zake ktk mitandao ya kijamii tofauti na Zitto ambaye ni mbunge na tunajua ubunge sio siasa za chumbani ni lazima upande jukwaani labda wale wa kuteuliwa na Rais kwa hiyo siasa unapotuhumiwa unatakiwa ujibu haraka iwezekano sio kukaa kimya tu......!nijuavyo mimi Zitto amewa influence vijana wengi kuingia katika siasa na amejaribu kujenga hoja nyingi zenye mashiko kuliko wabunge wengine .......nadhani ifikia kipindi cdm imsamehe Zitto ili wakijenge chama.

sir Alex Ferguson alimpiga kiatu David Beckham kwa kujifanya yeye ni zaidi ya Man U. Kazito katoke tu au kakiri na kujishusha
 
Wana Jf nimefurahishwa sana na tabia ya dr. Kitila Mkumbo,nimemfuatilia sana tangu zilipoibuliwa tuhuma dhidi yake pamoja na Zitto na Samson Mwigamba,amekuwa katika hali ya utulivu mkubwa kuliko watuhumiwa wenzie.

Maana baada ya kamati kuu kuwavua nyadhifa zao na kuwapa siku 14 dr amejitokeza mara mbili tu kwenye media kuzungumzia suala hilo.

Kutokana na sababu hiyo nimeanza kuamini kwamba maneno aliyosema kwenye kamati kuu kwamba aliingizwa tu kwenye mkenge na Zitto pamoja na Mwigamba ni ya kweli.

Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia baada ya wote wa 3 kurudisha fomu zilizokuwa na mashtaka 11, dr. Mkumbo amekuwa kimya akisubiri hatma yake,tofauti na wenzie ambao wameendelea kuhangaika kwa kisngizio cha kupigania haki yao ndani ya chama hata kabla ya chama kutoa hitimisho.

Zitto Kabwe ndio huyo yuko Kigoma akiomba huruma ya wananchi,Mwigamba ndio huyo katia timu kwa msajili wa vyama.

Swali linakuja ni kwanini hawa wawili wanatafuta utetezi nje ya chama chao mapema?Na kwa nini dr. Mkumbo katulia akisubira maamuzi ya vikao vya chama?

Je ni kutofautiana kwa viwango vyao vya elimu ndio kulikowatofautisha?Hakika dr. Mkumbo umenikosha sana na ukimya wako hivyo kuthibitisha kwamba hakika ww ni msomi uliye elimika.

GUILTY ARE ALWAYS AFRAID.

Hongera sana dr. Mkumbo.

Nawasilisha.

Huo ndo uelewa wako na mawazo yako and your promises can mislead the conclusion..
 
CHADEMA bana wanafurahisha, ukikubaliana na upuuzi wa wakina Lema, Mbowe, Slaa na Josephine unaonekana shujaa, una hekima na msomi. Ukiwapinga kwa ubadhirifu wao na uhafidhina unaonekana msaliti! Zitto ndio main character hapa hao wengine walikuwa wancheza supporting roles tu! usiwafananishe! Zitto has a lot at stake!

Umenena kweli kabisa
 
Huyo Kitila amesema yeye sio kiongozi cdm.......alijiondoa kitambo kwa mujibu wa barua yake kwa muajiri wake udsm.Kitila hiyo ndo style yake hakuwa na siasa za jukwaani wala media zaidi siasa zake ktk mitandao ya kijamii tofauti na Zitto ambaye ni mbunge na tunajua ubunge sio siasa za chumbani ni lazima upande jukwaani labda wale wa kuteuliwa na Rais kwa hiyo siasa unapotuhumiwa unatakiwa ujibu haraka iwezekano sio kukaa kimya tu......!nijuavyo mimi Zitto amewa influence vijana wengi kuingia katika siasa na amejaribu kujenga hoja nyingi zenye mashiko kuliko wabunge wengine .......nadhani ifikia kipindi cdm imsamehe Zitto ili wakijenge chama.
Kitila maefanya sana siasa za jukwaani...Umesahau kisa cha kule Iramba walipokuwa na Mnyika na Mwita Waitara mpaka Mwigulu Nchemba akatuma vijana wakafanye fujo kwenye mkutano? Unaposema Zitto asamehewe unamaanisha nini wakati mwenyewe hajaomba msamaha wala hajakiri makosa? Mtu akikana mashtaka, kazi ya mtoa mashtaka huwa ni kuthibitisha hayo mashtaka na baada ya haponi hukumu sio msamaha tena......Wahafidhina watawezaje kufanya kazi na Mwana demokrasia Zitto? Wenye Elimu ya maghumashi watafanyeje kazi na wenye elimu kubwa? Ni jambo lisilo wezekana kabisa
 
Naunga mkono hoja ya ukimya wa Dr. Kitilla ila pia
Kuna ukimya wa aina mbili, ule ukimya wa mtu hana la kusema na ule ukimya wa kuamua tuu kutosema!.

Kuna ukimya wa kusubiria hatima, ila ila kama tayari umeishaijua hatima, huna haja ya kuisubiria kimya!.

Dr. Kitilla anaisubiria hatima!, Zitto anaijua tayari!, wala hausubirii!.

Ila pia kuna kimya kingi chenye mshindo mkuu!.

Pia shishangai kama walivyo kuku, kuna kuku akishikwa kuchinjwa, anatulia tuu anachinjwa kama afanyavyo kondoo!, na kuna kuku akishikwa kuchinjwa, lazima akukuruke!.

Kwenye tuhuma zozote, ukimya ni admission of guilt, Dr. Kitilla alikubali tangu day one, kuwa yeye ndie initiator wa ule waraka na kumshirikisha Mngamba!, hivyo kunyamaza na kusubiria ni halali yake!.

Zitto anasingiziwa!, hatma yake iliishaamuliwa siku nyingi!, alikuwa anatafutiwa sababu tuu!, kwa nini anyamaze?!. Atulie tuu achinjwe kama yule kuku kondoo?!.
Pasco.
Pasco, na wewe Pamoja na unguli wako katika Medani za uchambuzi wa Siasa unaamini Kabisa Zitto hakuwa aware na ule waraka ????
Ulitaka Dr Kitttila aseme wazi wazi kuwa Zitto alikuwa aware na ule Waraka, huoni kuwa kaamua kusema tu kuwa Zitto hakuwa aware lakini anajua kabisaaa kuwa watu na akili zao watajua what was behind the scene ??? Pasco as days goes on hapa JF binafsi nazidi kuku rank na wale jamaa wa Buku 7 Project Fame Lumumba.
 
Last edited by a moderator:
Hali halisi hakuna sababu ya kuhangaika huku na kule wakati amepeleka hoja za kujenga utetezi kwenye uongozi wa juu chamani. Alichofanya Kitila Mkumbo ni sahihi, maana kwa sababu za msingi anachofanya Zitto na mwenzake Mwigamba hazina msingi wakati hatima yao bado hijafikiwa na wala kuitwa katika jopo la kujenga utetezi wao. Sasa povu lote analotoa huko Kigoma na kuvimbisha mishipa kwamba anazunguka nchi nzima kuna mantiki gani?

Nani anaratibu na kugharimia mikutano hiyo ya Zitto kama sio CCM ambayo imeacha suala zito la mawaziri kujiuzuru kwa kashfa ya kushindwa kazi wao wako busy na Chadama? Kinachoendelea CCM inafanya kila liwezekanalo Zitto asiondoke Chadema kwa vile ni chombo muhimu kwao ndio maana wako kwa hali na mali kuhangaikia hilo kuliko yanayowasibu.

Zitto anazidi kuonyesha uwezo wake wa kupima na kusoma nini kifanyike na nini kisifanyike kupwaya mno, na kwamba hekima na busara hana.
Hata ile kitu inaitwa common sense hana. Hata taratibu kama za mahakama huwa kesi ikiwa katika mwenendo basi huna budi kusitisha kuzungumzia hadi uamuzi utakapofikiwa, vinginevyo anachofanya sasa anaharibu mwenendo wa kesi yake.

Pengine ZZK mnamsikia tuu. Mpaka sasa yupo 1000 steps ahead of his enemies, vifaranga wooote mnataka hili jogoo ZZK lichinjwe. Lakini mama zenu wanajua athari za kulichinja hili jogoo. Kwani banda LA kuku bila jogoo so banda tena
 
Pasco, na wewe Pamoja na unguli wako katika Medani za uchambuzi wa Siasa unaamini Kabisa Zitto hakuwa aware na ule waraka ????
Ulitaka Dr Kitttila aseme wazi wazi kuwa Zitto alikuwa aware na ule Waraka, huoni kuwa kaamua kusema tu kuwa Zitto hakuwa aware lakini anajua kabisaaa kuwa watu na akili zao watajua what was behind the scene ??? Pasco as days goes on hapa JF binafsi nazidi kuku rank na wale jamaa wa Buku 7 Project Fame Lumumba.
Mkuu Bramo, naamini Mbowe anaujua ukweli halisi, Dr. Slaa anaujua ukweli halisi na kila mwenye akili tiumamu anaujua ukweli halisi ukiwaondoa wale waliozikabidhi akili zao kwa viongozi wa Chadema ndio pekee wasiujua ukweli kwa sababu akili za kuujua ukweli wamezikabidhi!.

Mtayarishaji wa waraka amekiri, mshirika wa waraka amekiri, ZZK ni mlengwa, hata kama ameona, ameonyeshwa amekuwa consulted na ameiridhia hiyo move, kosa lake ni lipi?!. Wanaoamini waraka ule ni uhaini wenye lengo la kufanya mapinduzi watakuwa ni vichaa!. Chadema inavichaa wengi kuliko unavyodhania!. Ule waraka ilikuwa ni kutengeneza "a winning coalition!" a lobby group ya kuhakikisha mtu wao ZZK ndio anashinda uchaguzi wa ndani wa Chadema!.

Wakati JK anagombea ndani ya CCM, Dr Salim, was not only the threat, but was the real man!. Kilichofanywa na Mtandao, JK anakijua and my be was behind!, Dr. Salim angeamua kwenda mahakamani, angeweza kumshitaki JK?, watenda kazi ni kina Salva, jee unajua nani was behind?!. Maadamu wahusika wanajulikana hata kama ilikuwa ni JK mwenyewe, sheria za ushahidi ni aliyekutwa na ngozi, na sio aliyeona kuambiwa au kusikia!.

Zitto ajue, asijue, alishirikishwa, hakushirikishwa kosa lake ni lipi?!.
Merry X-Mass
Pasco
 
Wana Jf nimefurahishwa sana na tabia ya dr. Kitila Mkumbo,nimemfuatilia sana tangu zilipoibuliwa tuhuma dhidi yake pamoja na Zitto na Samson Mwigamba,amekuwa katika hali ya utulivu mkubwa kuliko watuhumiwa wenzie.

Maana baada ya kamati kuu kuwavua nyadhifa zao na kuwapa siku 14 dr amejitokeza mara mbili tu kwenye media kuzungumzia suala hilo.

Kutokana na sababu hiyo nimeanza kuamini kwamba maneno aliyosema kwenye kamati kuu kwamba aliingizwa tu kwenye mkenge na Zitto pamoja na Mwigamba ni ya kweli.

Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia baada ya wote wa 3 kurudisha fomu zilizokuwa na mashtaka 11, dr. Mkumbo amekuwa kimya akisubiri hatma yake,tofauti na wenzie ambao wameendelea kuhangaika kwa kisngizio cha kupigania haki yao ndani ya chama hata kabla ya chama kutoa hitimisho.

Zitto Kabwe ndio huyo yuko Kigoma akiomba huruma ya wananchi,Mwigamba ndio huyo katia timu kwa msajili wa vyama.

Swali linakuja ni kwanini hawa wawili wanatafuta utetezi nje ya chama chao mapema?Na kwa nini dr. Mkumbo katulia akisubira maamuzi ya vikao vya chama?

Je ni kutofautiana kwa viwango vyao vya elimu ndio kulikowatofautisha?Hakika dr. Mkumbo umenikosha sana na ukimya wako hivyo kuthibitisha kwamba hakika ww ni msomi uliye elimika.

GUILTY ARE ALWAYS AFRAID.

Hongera sana dr. Mkumbo.

Nawasilisha.

Yaah binafsi nimefurahishwa pia na his strategy,he must be 'MZUKA' kichwani.

Anajielewa,kaandaaa kisha kachuja...jamaaa kwa 100% yupo sana katika siasa za chadema na siasa bora za ulimwengu....nadhani hii law imemsaidia ni msomi huyu...'NEVER OUTSHINE THE MASTER' hii kitu ya Robert Greene law # 1 katika kitabu cha The 48 laws of POWER.

Regards.
 
Umesema anasubir maamuz ya kamat kuu..maana yke hana utetez wa kuweza kumnasua..yy anaogopa kutokea kwenye media coz hlo lna wakera viongoz na yy bila chama hana pala..zzk anajua nn anaxho kifanya..coward is a dead person who is breathing
 
kumbe umeona umhimu wa elimu? mbona kwenye waraka waliposema ""elimu ya mkuu wa taasisi si tu ni ndogo bali pia ni ya maghumashi"" mlikasirika? kumbe waraka ulikuwa sahihi!!

Unaweza ukawa na Elimu kubwa ukafanya Vibaya katika Jamii,Lakini Pia unaweza Ukawa na Elimu ndogo na ukafanya Vizuri katika Jamii,and Vice Versa is true.
 
Wana Jf nimefurahishwa sana na tabia ya dr. Kitila Mkumbo,nimemfuatilia sana tangu zilipoibuliwa tuhuma dhidi yake pamoja na Zitto na Samson Mwigamba,amekuwa katika hali ya utulivu mkubwa kuliko watuhumiwa wenzie.

Maana baada ya kamati kuu kuwavua nyadhifa zao na kuwapa siku 14 dr amejitokeza mara mbili tu kwenye media kuzungumzia suala hilo.

Kutokana na sababu hiyo nimeanza kuamini kwamba maneno aliyosema kwenye kamati kuu kwamba aliingizwa tu kwenye mkenge na Zitto pamoja na Mwigamba ni ya kweli.

Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia baada ya wote wa 3 kurudisha fomu zilizokuwa na mashtaka 11, dr. Mkumbo amekuwa kimya akisubiri hatma yake,tofauti na wenzie ambao wameendelea kuhangaika kwa kisngizio cha kupigania haki yao ndani ya chama hata kabla ya chama kutoa hitimisho.

Zitto Kabwe ndio huyo yuko Kigoma akiomba huruma ya wananchi,Mwigamba ndio huyo katia timu kwa msajili wa vyama.

Swali linakuja ni kwanini hawa wawili wanatafuta utetezi nje ya chama chao mapema?Na kwa nini dr. Mkumbo katulia akisubira maamuzi ya vikao vya chama?

Je ni kutofautiana kwa viwango vyao vya elimu ndio kulikowatofautisha?Hakika dr. Mkumbo umenikosha sana na ukimya wako hivyo kuthibitisha kwamba hakika ww ni msomi uliye elimika.

GUILTY ARE ALWAYS AFRAID.

Hongera sana dr. Mkumbo.

Nawasilisha.

kwa nini dr slaa alienda kumchafua zito kgm,zito anajibu uongo wa dr slaa aliodanganya wana kigoma
 
Wana Jf nimefurahishwa sana na tabia ya dr. Kitila Mkumbo,nimemfuatilia sana tangu zilipoibuliwa tuhuma dhidi yake pamoja na Zitto na Samson Mwigamba,amekuwa katika hali ya utulivu mkubwa kuliko watuhumiwa wenzie.

Maana baada ya kamati kuu kuwavua nyadhifa zao na kuwapa siku 14 dr amejitokeza mara mbili tu kwenye media kuzungumzia suala hilo.

Kutokana na sababu hiyo nimeanza kuamini kwamba maneno aliyosema kwenye kamati kuu kwamba aliingizwa tu kwenye mkenge na Zitto pamoja na Mwigamba ni ya kweli.

Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia baada ya wote wa 3 kurudisha fomu zilizokuwa na mashtaka 11, dr. Mkumbo amekuwa kimya akisubiri hatma yake,tofauti na wenzie ambao wameendelea kuhangaika kwa kisngizio cha kupigania haki yao ndani ya chama hata kabla ya chama kutoa hitimisho.

Zitto Kabwe ndio huyo yuko Kigoma akiomba huruma ya wananchi,Mwigamba ndio huyo katia timu kwa msajili wa vyama.

Swali linakuja ni kwanini hawa wawili wanatafuta utetezi nje ya chama chao mapema?Na kwa nini dr. Mkumbo katulia akisubira maamuzi ya vikao vya chama?

Je ni kutofautiana kwa viwango vyao vya elimu ndio kulikowatofautisha?Hakika dr. Mkumbo umenikosha sana na ukimya wako hivyo kuthibitisha kwamba hakika ww ni msomi uliye elimika.

GUILTY ARE ALWAYS AFRAID.

Hongera sana dr. Mkumbo.

Nawasilisha.

kwani Dr.Slaa alienda kutangaza dini kule kigoma?
 
Wana Jf nimefurahishwa sana na tabia ya dr. Kitila Mkumbo,nimemfuatilia sana tangu zilipoibuliwa tuhuma dhidi yake pamoja na Zitto na Samson Mwigamba,amekuwa katika hali ya utulivu mkubwa kuliko watuhumiwa wenzie.

Maana baada ya kamati kuu kuwavua nyadhifa zao na kuwapa siku 14 dr amejitokeza mara mbili tu kwenye media kuzungumzia suala hilo.

Kutokana na sababu hiyo nimeanza kuamini kwamba maneno aliyosema kwenye kamati kuu kwamba aliingizwa tu kwenye mkenge na Zitto pamoja na Mwigamba ni ya kweli.

Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia baada ya wote wa 3 kurudisha fomu zilizokuwa na mashtaka 11, dr. Mkumbo amekuwa kimya akisubiri hatma yake,tofauti na wenzie ambao wameendelea kuhangaika kwa kisngizio cha kupigania haki yao ndani ya chama hata kabla ya chama kutoa hitimisho.

Zitto Kabwe ndio huyo yuko Kigoma akiomba huruma ya wananchi,Mwigamba ndio huyo katia timu kwa msajili wa vyama.

Swali linakuja ni kwanini hawa wawili wanatafuta utetezi nje ya chama chao mapema?Na kwa nini dr. Mkumbo katulia akisubira maamuzi ya vikao vya chama?

Je ni kutofautiana kwa viwango vyao vya elimu ndio kulikowatofautisha?Hakika dr. Mkumbo umenikosha sana na ukimya wako hivyo kuthibitisha kwamba hakika ww ni msomi uliye elimika.

GUILTY ARE ALWAYS AFRAID.

Hongera sana dr. Mkumbo.

Nawasilisha.

Kitira amebaini kuwa CHADEMA walikuwa wakimtumia kama DODOKI hivyo ameamua kuachana nao kimtindo. Hata akisamehewa hatakuwa active member kama ilivyokuwa awali.
 
Dr anaupeo mkubwa wa fikra.
nakubaliana nae kuwa hata elimu ya mwenyekiti wetu bado ni ndogo kuendesha taasisi kubwa kama Chadema.
Ila hilo ukilisema utaambiwa msaliti.
 
Wewe pasco nakuuliza hivi uliusoma ule waraka wa siri ambapo Zitto alibainika kupokea mabillioni ya shiliungi ili akivuruge chama!!!?hakika sikuelewi kabisa wewe ni kariba ipi hasa,hivi makubaliano ya Zitto na Mwigulu na baadhi ya wanaojifanya usalama wataifa ili akiujumu chama nahivyo kuleta unafuu cha ccm iweze walau kushinda uchaguzi wa 2015 umezisoma na kutathimini mwenendo ya Zitto iliuone ni kwanini watu tunasema huyu kijana hafai kuwa mwana chama ndani ya chadema. Achilia mbali kwa mikutano yote aliyofanya sehemu mbalimbali na kuonesha dharau ya wazi kwa viongozi wa juu wa chama alafu wewe bado unamtetea huyu msaliti na muuwaji pia mdumila kuwili tamaa mbele,kumbe hata elimu ya udsm haikumsaidia kitu hakika vijana wa namna hii hawafai tena ni bora mara mia kubakia na vizee madarakani haidhuru tutasema maamzi yao wameshindwa kwa vile umri umeenda kuliko vijana kama wewe na Zitto.
 
Wana Jf nimefurahishwa sana na tabia ya dr. Kitila Mkumbo,nimemfuatilia sana tangu zilipoibuliwa tuhuma dhidi yake pamoja na Zitto na Samson Mwigamba,amekuwa katika hali ya utulivu mkubwa kuliko watuhumiwa wenzie.

Maana baada ya kamati kuu kuwavua nyadhifa zao na kuwapa siku 14 dr amejitokeza mara mbili tu kwenye media kuzungumzia suala hilo.

Kutokana na sababu hiyo nimeanza kuamini kwamba maneno aliyosema kwenye kamati kuu kwamba aliingizwa tu kwenye mkenge na Zitto pamoja na Mwigamba ni ya kweli.

Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia baada ya wote wa 3 kurudisha fomu zilizokuwa na mashtaka 11, dr. Mkumbo amekuwa kimya akisubiri hatma yake,tofauti na wenzie ambao wameendelea kuhangaika kwa kisngizio cha kupigania haki yao ndani ya chama hata kabla ya chama kutoa hitimisho.

Zitto Kabwe ndio huyo yuko Kigoma akiomba huruma ya wananchi,Mwigamba ndio huyo katia timu kwa msajili wa vyama.

Swali linakuja ni kwanini hawa wawili wanatafuta utetezi nje ya chama chao mapema?Na kwa nini dr. Mkumbo katulia akisubira maamuzi ya vikao vya chama?

Je ni kutofautiana kwa viwango vyao vya elimu ndio kulikowatofautisha?Hakika dr. Mkumbo umenikosha sana na ukimya wako hivyo kuthibitisha kwamba hakika ww ni msomi uliye elimika.

GUILTY ARE ALWAYS AFRAID.

Hongera sana dr. Mkumbo.

Nawasilisha.


Unampa sifa za bure;Nakushauri utafute Raia Mwema ya 25/12/2013 Toleo:N.331-TUAHIRISHE DEMOKRASIA NDANI YA VYAMA HADI CCM ITAKAPONGO'KA? Ukimaliza kusoma hiyo pitia na hii;

Vijana wa CHADEMA wanahitaji kufundwa


''Nawashauri viongozi wa CHADEMA kuchukua hatua muhimu za kuwafunda vijana wa BAVICHA ili ubalehe wao wa kisiasa upite bila madhara kwa chama. Kufundwa huko ni pamoja na kuwafundisha namna ya kufanya kazi na vyombo vya habari. Wanahitaji kuhariri matamko yao sawa sawa, na kabla ya kuyatoa wapime athari za matamko yao kwa chama. Ukiona wewe ni kiongozi wa CHADEMA unatoa tamko na tamko hilo linapamba vichwa vya habari vya magazeti pinzani kwa chama chako kama vile Uhuru, ujue tamko lako limekiumiza chama.''


Baada ya hapo tupe jibu.

Ni hofu yangu JF imekwisha ingiliwa na wanasiasa na kunaubaguzi au upendeleo.

Niliweka Tread kwa heading. "NAWASHAURI CHADEMA''-KITILA MKUMBO naimefutwa alafu muda si mrefu inakuja hii ya kusifiana!
 
hata kama ni Dr, lakini kwenye pesa aliingizwa mkenge
 
Naunga mkono hoja ya ukimya wa Dr. Kitilla ila pia
Kuna ukimya wa aina mbili, ule ukimya wa mtu hana la kusema na ule ukimya wa kuamua tuu kutosema!.

Kuna ukimya wa kusubiria hatima, ila ila kama tayari umeishaijua hatima, huna haja ya kuisubiria kimya!.

Dr. Kitilla anaisubiria hatima!, Zitto anaijua tayari!, wala hausubirii!.

Ila pia kuna kimya kingi chenye mshindo mkuu!.

Pia shishangai kama walivyo kuku, kuna kuku akishikwa kuchinjwa, anatulia tuu anachinjwa kama afanyavyo kondoo!, na kuna kuku akishikwa kuchinjwa, lazima akukuruke!.

Kwenye tuhuma zozote, ukimya ni admission of guilt, Dr. Kitilla alikubali tangu day one, kuwa yeye ndie initiator wa ule waraka na kumshirikisha Mngamba!, hivyo kunyamaza na kusubiria ni halali yake!.

Zitto anasingiziwa!, hatma yake iliishaamuliwa siku nyingi!, alikuwa anatafutiwa sababu tuu!, kwa nini anyamaze?!. Atulie tuu achinjwe kama yule kuku kondoo?!.
Pasco.

Natumai umejisomea Raia Mwema ya leo; 25/12/2013 Toleo:No.331.
Hakuna cha ukimya hawa mabwana wamekwisha onana kuwa sasa wamegundulika na hivyo hakuna kurudi nyuma harakati ya kubomoa CDM wakati wake ndio huu pamoja na kwamba hawakutaka iwe kwa namna ilivyojitokeza.

Yaani mpango wa M7/masalia ilipoharibika mpango mbadala ukawa huu wa Mkakati wa Mabadiliko lakini tatizo ni kwamba umegundulika kabla ya kuzinduliwa na kwasababu muda wa kujipanga kwa sasa ni mdogo na kwa sababu mtandao utakuwa umefahamika mikakati itakuwa migumu hivyo wameona ni Bora kushawishi Wanachama na hasa lengo ni kuvuga CDM ili by 2015 iko hoi!.
labda Mkuu Ben Saanane ataleta mchango mzuri
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom