Pongezi Dr. Kitila Mkumbo

Pongezi Dr. Kitila Mkumbo

Status
Not open for further replies.
Zito bado hajamaliza kazi ya kuhakikisha anaibomoa CDM. Dr Mkumbo ushiriki wake kwenye usaliti ulishangaza watu wengi makini, haiingii akilini akatumiwa na Zito
 
Dr. Kitila namwona huruma sana huyu msomi anaetaka kumalizwa na siasa njaa na hasa mtoto mdogo kama Zitto kwa njaa na pesa ndogo.
Pesa ndogo? usiseme ndogo ni pesa ndefu ambayo tumempa zitto na ni lazima akamilishe kazi yetu ingawa tumeanza kuona hakuna dalili ya kuiua CDM, hawa jamaa wapo imara na hii inachangiwa na wananchi wengi kuamka sasa sio mwaka 47
 
kama ni hivo hakuna haja ya kuwa na taifa, ilitakiwa kila mkoa uende kivyake, let say kila kiongozi akitolewa cheo na serikali au taasisi akienda kulalamika kwao au kushitaki tutakuwa na taifa? Ina maana kina nchimbi waende songea kulialia kwa sababu wamenyang'anywa vyeo vyao? Wanasiasa kama kina zitto ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu. Kukubaliana na upuuzi huu ni kuangamiza taifa!
kosa la akini nchimbi linaonekana na kila moja alalijua kwamba limegharimu maisha ya watu tena wengi wao wasiokuwa na hatia. hebu nitajie kosa la Zitto.
 
Naunga mkono kwa Dr. Mkumbo kuwa mtulivu kwa kweli hata Chama nakiomba kimuangalie kwa jicho zuri na siyo kama huyu ZZK
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom