Kwa Serikali hii ya Kikwete inawezekana kushindana na Serikali, unategemea hukumu aliyopewa Ponda haina Mkono wa Jk? huwezi ukashiriki katika wizi na kuhatarisha amani ya nchi alafu ukafungwa kifungo cha nje cha siku kadhaa.
Anajua anachokifanya. Nina mashaka sana na njia za JK kuingia ikulu.
serikali ndo kidudu gani.........wa kuogopwa kutoshindana nae ni Mungu tu
Hakuna chuki bali ni kutaka ufafanuzi tu...........simjui Ponda wala Lipumba....hapa tunajadili hoja na sio watu
ukianza kumuangalia Kikwete na Lipumba kwa uislam wao halafu ukaanza kuwaunganisha na Ponda utakuwa unafanya kosa kubwa ambalo litawafanya waislam waanze kuwangalia viongozi wengine wakrito kwa ukisto wao na tena watawaunganisha viongozi hao na wakristo wengine ambao historia zao si nzuri. Mitazamo hii potofu ndio chanzo cha hisia za kidini na hatuwezi kumuweka kiongozi bora 2015 kwa mtaji huu.
Ndugu kama kufanya hivyo ni suna mbona wewe hujitokezi ukafanya hivyo? unamsukumizia mwenzio afanye wakati wewe uko nyumbani kwako unakula bata na wanao, nenda kajitokeze na wewe, nyinyi ndo wale mnawapa wenzenu wavae mabomu alafu mko kwambali mnasikilizia, acha hizo wewe kwani nani hapendi ubwabwa.
heri ni yake zawadi ya wanawake mabikira wa peponi inamsubiri mfia dini huyu.acha chuki huyu si mwanasiasa ni mfia dini
Heshima yako sana Sheikh Ponda,
Tupo nyuma yako daima...
Sh Ponda usitetereke.....simama imara hakuna mwenye uwezo wa kukuziba mdomo......sana sana watakueka Jela na hiyo kwa Waislam ni University llah Yusuf.....kingine labda wakuhamishe mji na hiyo kwa Waislam ni Hijra Fii Sabilillah...jambo la mwisho ambalo wataeza kukufanyia ni kuuua na kukupa tiket ya Jannat,,....raha gan ilioje Muislam kuuawa na Kafir....,,ivyo bac Muislam hana hasara yoyote ile..,,wafanye watakayofanya ila wajue kua ndo wanakupandisha darja mbele ya Allah SW..,,Jazaka llah kheir Sh Ponda our Muslim Fighter
Aliyeumba mbingu na nchi ndo yule Yesu mtoto wa seremala???
Yap!..
Huyo huyo bila yeye hakuna kilichofanyika!...
Sasa siku aliyokufa dunia aliiendesha nani?