Ponda: Serikali haiwezi kunifunga mdomo

Ponda: Serikali haiwezi kunifunga mdomo

Nadhani siku moja atakipata anachokitaka huwezi kushindana na serikali.

Utakipata wewe na kutambua ubaya wa kukubali kutumikishwa siku utakapokiuka masharti na maelekezo unayopewa hapo Lumumba lakini sio Sheikh Ponda.
 
quote_icon.png
By Marnah
Sh Ponda usitetereke.....simama imara hakuna mwenye uwezo wa kukuziba mdomo......sana sana watakueka Jela na hiyo kwa Waislam ni University llah Yusuf.....kingine labda wakuhamishe mji na hiyo kwa Waislam ni Hijra Fii Sabilillah...jambo la mwisho ambalo wataeza kukufanyia ni kuuua na kukupa tiket ya Jannat,,....raha gan ilioje Muislam kuuawa na Kafir....,,ivyo bac Muislam hana hasara yoyote ile..,,wafanye watakayofanya ila wajue kua ndo wanakupandisha darja mbele ya Allah SW..,,Jazaka llah kheir Sh Ponda our Muslim Fighter
 
Dah!..

Nilikuwa sijui lakini kwa hayo maelezo ni wazi Allah ni mungu wa waislamu na sasa ninaamini Waislam wanamungu wao siye

Mungu ninayemjua mimi Muumbaji wa Mbingu na nchi!...

Allah is not equal to God(Mungu).

Aliyeumba mbingu na nchi ndo yule Yesu mtoto wa seremala???
 
Sh Ponda usitetereke.....simama imara hakuna mwenye uwezo wa kukuziba mdomo......sana sana watakueka Jela na hiyo kwa Waislam ni University llah Yusuf.....kingine labda wakuhamishe mji na hiyo kwa Waislam ni Hijra Fii Sabilillah...jambo la mwisho ambalo wataeza kukufanyia ni kuuua na kukupa tiket ya Jannat,,....raha gan ilioje Muislam kuuawa na Kafir....,,ivyo bac Muislam hana hasara yoyote ile..,,wafanye watakayofanya ila wajue kua ndo wanakupandisha darja mbele ya Allah SW..,,Jazaka llah kheir Sh Ponda our Muslim Fighter


I can see the spirit of 'a devil worshipper' in this writter as it is in the said sheikh
 
Heshima Wandugu;
Tafadhalini Msitukane Ovyo ovyo Tujaribu kutoa POINTs na HOJA ili wengine tuelewe yanayojirii !!
Kila mmoja ana uhuru wa kutoa maoni yake; bila kupayuka maneno machafu. Tuweke adabu za DEBATE.
kila la heri.
 
tuacheni jazba, tulete hoja, mimi naamini kuwa JM imesaidia kurekebisha mambo mengi saana ndani ya nchi yetu,ingawa kuna wachache hawaipendi.
katika issue ya PONDA serikali ikae na waislam (kina ponda) ili kusikiliza hoja zao na izitafutie ufumbuzi.
kukimbilia kuwaita bakwata hakutasaidia kuondoa madai ya waislam katika tanzania.
tatizo litaondoka tu kwa kutatua hoja, isitoshe ikumbukwe kuwa waislam hawana tatizo na wakristo bali serikali yao.
mtatumia kila jina kuwaita kina PONDA lakini bado madai ya waislam yataendelea kuwa pale pale.
 
Tatizo naloliona hapa ni watu kukomaa na dini walizoletewa na binadamu wenzao na kukaririshwa madrassa na wao kuona hakuna maisha nje ya dini yao.

Waisilamu fungueni macho muone ukweli, matatizo mliyonayo hayasababishwi na wakristo bali ni CCM, walipoingia misikitini wakishirikiana na cuf na kuwaambia mumchague kikwete ni muisilamu mwenzenu atawasaidia matatizo yenu si mmeona kilichotokea.

Matatizo mliyonayo waisilamu yanayohusiana na dini ni madogo sana kulinganisha na matatizo mliyonayo nje ya dini. matatizo ya maji, barabara, ajira, mfumuko wa bei za vitu, mgao wa umeme, dawa mahospitalini, rushwa katika huduma za kijamii, kupanda kwa nauli, elimu mbovu nk hayahusiani na dini ya mtu. Mwenye uelewa na matatizo ya waisilamu naomba aniorodheshee matatizo ya waisilamu.
 
quote_icon.png
By Marnah
Sh Ponda usitetereke.....simama imara hakuna mwenye uwezo wa kukuziba mdomo......sana sana watakueka Jela na hiyo kwa Waislam ni University llah Yusuf.....kingine labda wakuhamishe mji na hiyo kwa Waislam ni Hijra Fii Sabilillah...jambo la mwisho ambalo wataeza kukufanyia ni kuuua na kukupa tiket ya Jannat,,....raha gan ilioje Muislam kuuawa na Kafir....,,ivyo bac Muislam hana hasara yoyote ile..,,wafanye watakayofanya ila wajue kua ndo wanakupandisha darja mbele ya Allah SW..,,Jazaka llah kheir Sh Ponda our Muslim Fighter

iman bana
kweli inabidi kila mtu aheshimu iman ya mwenzake
lakini siyo kutishana
 
mwambieni apiganie kujenga shule,zahanati,na taasisi za elimu ya juu ili masheikh na maimamu wapate elimu itakayowasaidia waislamu kupambana na changamoto za kimaisha badala ya kulia na serikali kila kukicha,maisha bora hayaji kwa kukaa kijiweni kunywa kahawa na kupiga domo,
 
Jamani Jamani, Chonde chonde! Move hii si nzuri sana.... kwa kuwa wana JF si waaina hii. mimi nashauri hivi kama Shekh Ponda yupo kifungoni hata kama nikifungo cha nje basi tumpe uhuru wa mawazo yake so long as hafanyi vurugu yoyote na haatarishi maisha ya watu na mali zao... kunahaja gani kumuingilia juu ya maisha yake ya kiimani?

Katiba inamlinda kamavile sis sote inavyotulinda...

Hat hivyo napita tu..
 
Hata makaburu walimwambia mandela ni mchochezi sishangai kwa ponda

Elimu yetu ina shida, Kawambwa anastahili kujiuzuru kama uelewa wa watu ndo uko hivi! kwani Mzee Mandela alikua anapigania dini? Huwezi kumlinganisha mpigania uhuru wa mtu mweusi na mpigania dini yakuletwa!
 
iman bana
kweli inabidi kila mtu aheshimu iman ya mwenzake
lakini siyo kutishana
With all the respect isaac,
Wengi wetu hatuelewi kuwa nature yetu ni mchanganyiko wa hisia; mara nyingi ukipenda chongo utasema kekngeza!! ukipenda imani yako utaitetea vilivyo hapo haina tabu walla noma; lakini kubali yakuwa na wengine wana imani zao, Lazima wataziDefend imani na uelewa wao. sasa Mtu anapoanza kutokwa na Matusi na Vitisho huwa hafahamu kuwa atakutana navyo usoni kwake, kwani The other side nao watamlipuwa kwa matusi makubwa zaidi aliyoyatoa or Worse than matusi anayotegemea !! " Ndoma maana tumevunzwa tusitukane wazazi au tusitukane mungu " ikaulizwa VIPI?
wakasema ukimtuna wamwenzio hapohapo na mojakwamoja wako naye atatukanwaaa"
kwa hiyo wapendwa tujiheshimu na tuvumiliane kwa kadri kubwa. at the end of the day wote tutalala kwetu!!
 
Back
Top Bottom