Mi sina tatizo na anachoongea ponda au mtu yeyote yule mwenye ushawishi kwenye jamii. Concern yangu mimi ni hiyo jamii (audience) anayoongea nayo ina uwezo kiasi gani wa kuchambua mambo. Hadhira ambayo haina uwezo wa kuchambua mambo wanayoambiwa either kwa sababu ya elimu ndogo and kukosa exposure, ni hatari kutumbukia kwenye machafuko au majanga bila wao wenyewe kujua.
Waisilamu amkeni muone ulimwengu unavyokwenda, tena wengine mnatumia hadi mitandao ya kijamii kwa nini nyie mlioelimika msiwaambie wenzenu ukweli wa dunia inavyoenda kuwa hata huko Saudi Arabia ambako mtume wenu amezaliwa, hakuna kazi maofisini ambazo zinatangazwa zikitaka uwe na cheti cha elimu ya dini. Wanafuata mfumo huu huu wa elimu ya kimagharibi, BSc. BA. MSc. MA.
Mbona wenzenu wapemba wamejaa pale UDOM wanasoma elimu dunia nyie mnaendekeza dini matokeo yake watu wenye upeo mdogo kama Ponda wanawainfluence kijinga sana. Utatuzi wa matatizo yenu waisilamu kama walivyo wa dini nyingine ni kung'ang'ania Elimu yenu na watoto wenu ili mpate hayo maisha bora. Asitokee mtu wa kuwadanganya kuwa mkituua sisi makafiri mtaenda ahera na Allah atawapa mabikira 72, halafu wanawake wapewe nini?