Ponda hali mbaya

Ponda hali mbaya

Status
Not open for further replies.
Mkuu km kweli za kuambiwa unachanganya na zako basi utajua kuwa mfumo kristo hauziiliki kwani upo kila mahali.....upo misri. Syria, iraq, afghanistan, tunisia, somalia ndo maana wanachinjana kwa sbb ya kudai haki ili mfumo kristo uondoke......
Changanya na zako mkuu

acha sigara ndugu,hayo ni mawazo ya wavuta sigara
 
Mkuu km kweli za kuambiwa unachanganya na zako basi utajua kuwa mfumo kristo hauziiliki kwani upo kila mahali.....upo misri. Syria, iraq, afghanistan, tunisia, somalia ndo maana wanachinjana kwa sbb ya kudai haki ili mfumo kristo uondoke......
Changanya na zako mkuu

Popote penye dhulma alafu kukiwa na waislam hapawezi kuwa na amani.
 
Lakini si amepigwa risasi na askari wa IGP SAID MWEMA ambaye ni mteule wa ustaadh Mrisho Jakaya Kikwete? Sasa mfumo kristo unakujaje hapo?

tatizo lenu mnaviherehere sana, yaani kuanzia vioongozi mbaka waumini, ndicho kinachowaponza, panya pori nyie.
 
Msijidanganye akiondoka Ponda huyu kuna Ponda mia moja nyuma yake
 
Mkuu naona suala la wake wengi na watoto limekukaa kweli! waacheni waislam waijaze dunia, nyinyi zaeni mmoja tu au ikiwezekana msizae kabisa, ili muweze kuishi maisha mnayoweza kujipangia wenyewe!!

Hakuna aliyewakataza kuijaza, lkn hilo lisiambatane na manung'uniko eti mmenyimwa kusoma.

Unaoongea hapa ni ujinga. Kuzaa sana sio issue ikiwa na death rate nayo ni kubwa. Issue hapa ilikuwa fulani kanyimwa elimu, fulani kafelishwa. Sasa km uliishia darasa la 3 umefelishwa mtihani upi?
 
Msijidanganye tatizo sio Ponda bali ni mfumo, usipoangaliwa ata yeye akifa tayari kuna PONDA mia moja wapo tayari na heri huyu anatumia njia za kidiplomasia.
 
Hivi najiuliza maswali ambayo bado sijapata majibu, hivi anapopinga kamati za ulinzi kwenye nyumba za ibada anafikiri matokeo yatakuwaje?

Hicho kilichomkuta yeye ni mfano tu wa kinachowakuta wananchi wenzake kwenye nyumba za ibada mara kwa mara.
 
Msijidanganye tatizo sio Ponda bali ni mfumo, usipoangaliwa ata yeye akifa tayari kuna PONDA mia moja wapo tayari na heri huyu anatumia njia za kidiplomasia.
Tunashukuru kwa taarifa, nina imani wahusika wameipata.
 
Msijidanganye tatizo sio Ponda bali ni mfumo, usipoangaliwa ata yeye akifa tayari kuna PONDA mia moja wapo tayari na heri huyu anatumia njia za kidiplomasia.

Mfumo upi?? wewe umeishia la 7 alaf unataka kula neema za nchi?? nenda shule, jibidiishe uone raha za dunia. Mfumo huohuo mnaoutolea mapovu unawapa kichapo hata hao wakristo mnaodhani wanabebwa.
Jitambue..
 
Acha kujitoa ufahamu wewe. Ninafanya kazi kwenye taasisi moja iliyo chini ya Ubalozi wa GERMANY. Mkurugenzi wetu wa fedha na utawala ni MUISLAM, tena swala 5. Ni mtu VERY INTELLIGENT na ana hofu ya Allah kiukweli. Tabia na mwenendo wake unamtia hamu kila mtu kuwa Muislam. Na wengi tunajifunza kwake (hata wasio waislamu)
Nimekupa tu sifa ya Waislam safi, wanaojitambua.. Kinyume chake, ndo nyie magaidi, maswahiba wa ponda.
Mkuu Facilitator hata mimi nimesoma kuanzia O-LEVEL, A-LEVEL mpaka Chuo Kikuu na waislamu tena walikuwa na uwezo mkubwa sana darasani kitaaluma na kihekima. Mpaka hata wasiokuwa waislamu walitamani kwenda kwenye ibada za waislamu wakati wa vipindi vya dini na waislamu walikuwa wakiingia kwenye madarasa ya wakiristo wakati wa vipindi vya dini. Sio kwamba wakati huo hakukuwa na changamoto lakini zilikuwa zikitokea zinamalizwa kwa kukaa na kuzungumza pamoja na kutatuliwa.

Tofauti na wakati huu tulionao watu hawana subira kila kitu wanaona wanaonewa, matokeo yake watu wanapandikizwa chuki dhidi ya kundi jingine tofauti na ukweli ulivyo.

Juzi kati nilishangaa wakati polisi alipompiga risasi Ponda, Wafuasi wake walikuja juu kutaka Dk. Nchimbi ajiuzulu. Sasa mimi wanaponichanganya hapo ni:

Kama suala ni Waziri kuwajibika kwa makosa yaliyofanywa na watendaji wa chini yake, kwanini wasianzie na IGP Said Mwema? kama walivyoshinikiza kwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Dk. Ndalichako kwa uzembe wa mtumishi wake na wala sio Waziri wa Elimu Dk. Shukuru Kawambwa.

Hapa ndipo ninapozidi kuamini kwamba waislamu safi wanaofahamu dini ya Uislamu vilivyo walikuwepo, wapo na wataendelea kuwepo na ndio hao wanaopingwa na Ponda na wafuasi wake kwa kigezo cha kuwa vibaraka wa Serikali.
 
Popote penye dhulma alafu kukiwa na waislam hapawezi kuwa na amani.

Kwa nini waislam tu !ponda anapambana na Bakwata wenzake lakini Wajanja wanataka kuwaaminisha watu eti ponda ni adui wa Ukirsto ili wakristo Nao wadhani wafuasi wa ponda ni adui zao kisha viza na vioja na chokochoko za Udini ziendelee ! Tuwe makini ktk hili si lazima ushabikie kila kilichojili
 
ukiondoka mfumo kristoHapo huwoo mfumo Kristo upo wapi?Tuache kuwaonea wakristo enyi waislam wenzangu.kuanzia Raisi wa nchi hii ni Islam Makamu wake IGP nae bado tu wasema ukristo kuweni na haya ndugu zangu.Mangapi tumeatenda hawa wa kristo na bado wamefunga midomo yao.
 
Lilivyoanza nikaona jitu lenye maana hee nikabaki kushangaa tena limeweka ukirsto kweli limekimbia Milembe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom