Ponda hali mbaya

Ponda hali mbaya

Status
Not open for further replies.
Tunajua kufa co vizuri lakini huyu jamaaàna chochea xna vurugu za kidini kitendo ambacho co kizuri kabisa kinaweza kutu sababishia ukosefu wa amani nchini kwetu kwahiyo me naona ni bora afe ili atu hepushe na hiyo niayake mbaya
 
Mkuu km kweli za kuambiwa unachanganya na zako basi utajua kuwa mfumo kristo hauziiliki kwani upo kila mahali.....upo misri. Syria, iraq, afghanistan, tunisia, somalia ndo maana wanachinjana kwa sbb ya kudai haki ili mfumo kristo uondoke......
Changanya na zako mkuu
Uko Ireland ya kaskazini,upo Liberia,upo sieraleone,upo kongo,upo sudan kusini,uko Rwanda,Uko Timori ya mashariki,Upo Madagaska nk
 
Serikali inacheza na huyu Mrundi kuchelea kuwaudhi kina yakhe, lkn mchelea mwana kulia, hulia mwenyewe
 
Ponda anasema alipolambwa ile shaba alichanganyikiwa...ndio haone sio vizuri kuchochea watu wakayapige risasi makafiri cz risasi sio masihara..pole yake
 
Hakuna atakayebaki hata wewe pia utakufa.

Mbaya zaidi mhuni yuleyule mwenye elimu na akili zilezile anawahutubia watu walewale wenye akili zilezile na elimu ileile ya kahawa na soga,,, kwa njia ya kuwajaza upepo
 
mfumo kristo ni hofu yenu nyie mliokimbia kusoma na msiotaka kufanya kazi. anayewapandikizia hyo sumu ndo huyo ponda ambaye kaishia la 7. waislamu wenye bidii na kujitambua wamefanikiwa bila kusubiri kubebwa na kuzawadiwa vyeo.
Jitambue..
Kauli kama hizo hapo kwenye bold ndizo zinazowatia waislam hasira na kuona kwamba labda mfumo ulioundwa ndio uliosababisha haya yote hadi kufikia hatua ya kubezwa! Sisi wote ni watanzania hakuna haja ya kubezana, aliebahatika kusoma atumie elimu yake kuliendeleza taifa na kuandaa mipango ya kuwafanya watanzania wengi zaidi wapate nafasi za kusoma bila ubaguzi wa dini kabila au majimbo! Jamii forum members hebu tuweni na hekima tusiwe kama wale wanaokaa vijiweni kuvuta sigara na bangi...
 
Uko Ireland ya kaskazini,upo Liberia,upo sieraleone,upo kongo,upo sudan kusini,uko Rwanda,Uko Timori ya mashariki,Upo Madagaska nk

Jitu jinga hubakia na ujinga wake kwa kupenda kutojitazama. Hayo maeneo unayoyataja yanahusianaje na unachoambiwa?

Rwanda kwa mfano, unaweza ukaeleza unavyoihusisha na comment ya nketi?
 
Last edited by a moderator:
Uko Ireland ya kaskazini,upo Liberia,upo sieraleone,upo kongo,upo sudan kusini,uko Rwanda,Uko Timori ya mashariki,Upo Madagaska nk,QUOTE]

Unavoandika inaonekana km vile upo kwenye.cku zako au.umejinyea baada ya..........
 
Pondaaaaa, ukishapona karibu SHULE. Soma kidogo tu walau mpaka Form 4 upate akili na umaana wa kile unachokipigania. Ni kama bado upo gizani vile!
 
Freedom of speech is not a crime in tz anacho kifanya Ponda anaongea mambo ya msingi na haki ya wanyonge
 
Ponudaaaaa, ukishapona karibu SHULE. Soma kidogo tu walau mpaka Form 4 upate akili na umaana wa kile unachokipigania. Ni kama bado upo gizani vile!

Wewe kwanza rudi shule ndio umwambie mwezako unafirikiria elimu ina mwisho?
 
mwenyezi mungu akuafu shekhe wetu.wewe unae mtakia ponda kifo hujakosea,yeye atakufa wewe utabaki.ponda nibinaadam anawatoto wanao mtegemea.inatia huruma
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom