TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Last edited by a moderator:
Mkuu acha unafiki. Hivi kweli huoni tofauti kati ya tamko la Chadema na la Prof. Lipumba? Hebu linganisha red katika tamko la Chadema hapo juu na green ya Lipumba hapo chini. Hapo nilipo-underline, tayari Lipumba analo jibu au hukumu! Eti ni uongo; hiyo ni kazi ya mahakama. Tofauti ya matamko hayo mawili iko very clear; lilioenda shule na la kipumbavu yanajieleza yenyewe.
Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba ameitaka serikali kumuachilia kwa dhamana Sheikh Ponda Issa Ponda kwani amewekwa ndani kinyume na utaratibu.
Prof Lipumba amedai kusema kwamba Sheikh Ponda alihusika na uchomaji wa makanisa ni uongo na kitendo cha kumkamata ndicho kilichochochea vurugu zilizofanyika wiki iliyopita.Amesema ili kurejesha amani na kunusuru nchi kuingia katika mfarakano ni lazima kwanza kiongozi huyo wa waislam aachiliwe huru.
Source:Mwananchi.
WanaJF na wana CDM hapa ndipo mnapokosea. Dr Ulimboka mlimlilia sana wakati alisababisha vifo vya watu wetu wengi ambao hawakuwa na hatia.... leo Prof kuishauri serikali imwachie Sheikh Ponda mnamwona ni mdini, anataka kuisilimisha Tz, na hafai kuwa Raisi? sio? Ninyi CDM mtaushawishije umma wa Kitanzania kuwa nyie si Kanisa? mlimlilia sana Mwangosi, Ulimbka kwa kuwa hawa ni miononi mwenu sio? Take it from me, You will never chance to Ikulu ...kamwe.... chimo mmelichimba wenyewe..lazima mtaliingia tu. hamna ujanja! Tutaipigia kura CCM daima kama hamtaacha ujinga wenu huu.
WanaJF na wana CDM hapa ndipo mnapokosea. Dr Ulimboka mlimlilia sana wakati alisababisha vifo vya watu wetu wengi ambao hawakuwa na hatia.... leo Prof kuishauri serikali imwachie Sheikh Ponda mnamwona ni mdini, anataka kuisilimisha Tz, na hafai kuwa Raisi? sio? Ninyi CDM mtaushawishije umma wa Kitanzania kuwa nyie si Kanisa? mlimlilia sana Mwangosi, Ulimbka kwa kuwa hawa ni miononi mwenu sio? Take it from me, You will never chance to Ikulu ...kamwe.... chimo mmelichimba wenyewe..lazima mtaliingia tu. hamna ujanja! Tutaipigia kura CCM daima kama hamtaacha ujinga wenu huu.
Pengine tu nikuulize hili,kwani makanisa yalichomwa lini na waliochoma walieleza sababu ni nini labda na sheikh amekamatwa kwa sababu gani labda pengine tuanzie hapo,ila all in all kitu kikubwa ni kwamba chadema na lipumba wote wanataka ponda aachiwe kwa dhamana kama umesoma vizuri,then hayo mengine itakua ni kazi ya mahakama kutoa ufafanuzi baada ya kupata ushahidi wa uhusika wa ponda kwenye sintofahamu ya mbagala,nasisitiza tuwe fair katika kipindi hiki na kumpigania ponda na wenzake waipate haki yao(dhamana)kwa mujibu wa sheria za nchi sio ushabiki wa kitoto,dhamani ni haki ya raia
Umefanya vizuri maana mtu anaweza asielewe sawasawa.Tatizo hujaelewamada. Chadema inatetea kuwa Ponda ana haki ya kikatiba ya kupata dhamana. Tatizo Lipumba anaenda mbali zaidi kusema Ponda hana hatia wakati yeye si mahakama. Dhamana ni haki ya raia ila kwamba una hatia au la ni swala la kisheria si kisiasa
chadema hawakutoa judgement kuwa ponda anahusika ama hawakuhusika ktk uchomaji,iweje lipumba na kauli yake...anataka kudumisha udini as usual,poor mtemi pumba
katika hali ya kawaida nilitegemea majibu kwanza ya nilichouliza kuliko kuwa kama kasuka kuigiza kila ninachofanya,ok anya wayz pengine ndio kilema chako maana wanasema kila binadamu ana kilema fulani,je kwa ufahamu wako labda polisi kwa nini inamshikilia ponda tena mind you kinyume cha katiba?pengine unaifahamu sababu ya wao kufanya hivyo ndio maana ungependa na unafanya jitihada za makusudi kujaibu kushabikia ubakaji huo wa haki za raia?Na mimi nikuulize, kwani Lipumba alisikia wapi kwamba Ponda ni mtuhumiwa wa uchomaji makanisa hadi leo aanze kukanusha kwa niaba yake?
chadema imekuwa chama cha ukiristo mno sasa, kilivyoanza nilihamasika na nilitamani kiungane na CUF ili tuing'oe CCM madarakani ila ss hv ni wazi kuwa mnasimamia kanisa na kiongozi yoyote wa kiisalm ni mdini ila wa kikristo ndio mwanademokrasia, tunapokwenda huku sipo, ila kama ni hivyo mnataka kanisa ndio litawale nchi basi ingizeni chama rasmi cha kanisa na sisi tutaingiza cha sheria na mahakama za kiislam, halafu kwa mujibu wa sensa yenu ile ya TBC mnaaminishwa kuwa nyinyi ndio wengi ila sote wenye akili timamu tunajua wengi ni kana nani, na kwa taarifa yenu tu khilafa will be back, i am sure u can read the signs egypt, mali, nigeria, middle east, somalia, kenya, tanzania, asia, russia, europe and america. Nd sisi hatuna chuki na wakiristo wala wasiokuwa waislam bali nyinyi wengi wenu mmepandikizwa chuki, soon we will rule the world peacefuly
I am trying to remember who is it who said "Christianity is the religion of the most powerfull nations of this world and it will continue to be so."