Ponda aachiwe mara moja - Lipumba


Ndugu, Ponda anazo TUHUMA kadhaa; kwamba hiyo ya kuchoma makanisa ni miongoni mwa hizo tuhuma mimi sifahamu wala simo! Ila kama hiyo ni miongoni mwa tuhuma, siyo kazi ya Lipumba na CUF yake ku-rule out kwamba ni UONGO au SIYO UONGO bali ni kazi ya Mahakama pekee na hoja iliyoko mezani ndiyo hiyo! Otherwise, huyo Shehe kupewa dhamana ni suala ambalo halina mjadala. Natumaini umeelewa sasa.
 


I am completely unable to get any meaning of what you have written. Can you ask a friend to help you put your message correctly please!
 
I am completely unable to get any meaning of what you have written. Can you ask a friend to help you put your message correctly please!

You need to think so greatly to understand it, i am sorry!!
 
I am completely unable to get any meaning of what you have written. Can you ask a friend to help you put your message correctly please!

nadhani anakusudia kusema ukristo unapendelewa naserikali nyingi duniani, mfano wa karibu ni tanzania
 
You need to think so greatly to understand it, i am sorry!!
Hivi ulishaona nchi za Kikristo zina vurugu? Sasa cheki kwa magaidi, Syria, Iraq, Iran, Tunisia, Libya, Misri, Afghanistan, Pakistan, Misri, Indonesia, Uturuki, Saudi Arabia, etc. Dini ya kutoka kwenye ibada na mchana huo huo mnaokota mawe na kuingia mitaani kuvuruga amani na kuchoma moto mali ambazo hazihusiani na madai yenu ni dini kweli hiyo? Kama siyo magenge ya wahuni ni nini? Inawezekanaje mhubiriwe amani lakini mkitoka nje tu mnavuruga amani? Kama vile haitoshi, ni dini pekee wanayochapana bakora wenyewe kwa wenyewe mle mle misikitini! Tena, wanaandamana kupinduana wenyewe kwa wenyewe kwenye uongozi. Wakristo kwa madhehebu yao yote hutaona wakipigana, wakiandamana, wakichoma moto mali wala kuchochea chuki. Hiyo ndio IMANI SAHIHI inayoweza kumshawishi hata mpagani kuifuata. Lakini dini ya kiislamu, ni vurugu tupu labda hadi wanyolewe ndevu kama Sheikh Farid wa Uamsho ndio utaona wanatulia. Utadhani nguvu zao zote ziko kwenye ndevu! Idiot!
 
Wasomi wetu wengi wa Kiislamu huwa na tabia ya kuuweka pembeni usomi wao pindi linapotokea jambo linalohusu Uislamu/ Waislamu.
Sijamshangaa Prof Lipumba kwa kauli yake ktk 'Mwananchi' leo.
 

Mkuu hapo kwenye red; kwa nyongeza tu, wale waliohukumiwa kuuwawa kwa mujibu wa dini yao hupigwa mawe hadharani mara tu baada ya swala ya Ijumaa waumini wote hadi watoto wadogo wakishuhudia! Hii ndiyo inayojiita dini ya amani na unyenyekevu! Huu ni zaidi ya ukatili kwa viwango vyovyote vile.

Asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumrushia jiwe - andiko hili litawahukumu sana enyi watu.
 

You mentioned many countries but why NOT mecca where the Religion has its base! you can not have answer to this as well! think again, later I will tell you every unknows!
 
You mentioned many countries but why NOT mecca where the Religion has its base! you can not have answer to this as well! think again, later I will tell you every unknows!
Hili ndilo tatizo la kuishia madrassa, sasa hiyo kwenye bold ndio nchi gani katika ramani ya dunia? Mi nilikuwa naorodhesha nchi na wala siyo miji, au wewe Mwalimu wako alikuwa Philipo Mulugo?
 
Wasomi wetu wengi wa Kiislamu huwa na tabia ya kuuweka pembeni usomi wao pindi linapotokea jambo linalohusu Uislamu/ Waislamu.
Sijamshangaa Prof Lipumba kwa kauli yake ktk 'Mwananchi' leo.

It looks like you talking the truth! religions sometime use to be like women the way they drive their "their husbands"
regardless of educational background of post!
 
Hili ndilo tatizo la kuishia madrassa, sasa hiyo kwenye bold ndio nchi gani katika ramani ya dunia? Mi nilikuwa naorodhesha nchi na wala siyo miji, au wewe Mwalimu wako alikuwa Philipo Mulugo?

I think it was a slip of the keyboard! anyway you got it! Saudi arabia is more political name as you mentioned but I do not think that there are religious disputes in Saudi Arabia! do they exist? if yes, I can not give you a secret behind what is going on all over the world about Islam!
 

Naona unatapatapa tu,okey whats your opinion kuhusu dhamana?maana ndio suala la msingi la lipumba
 
Kama haya ndiyo mawazo ya profesa na sisi ambao tuliogopa umande tutakuwa na yapi?


Commonsense is not a gift it is a punishment because you have to deal with anyone who doesn't have it

Ni ngumu sana kumuelewa Prof Lipumba, hata akirudi kugombea Ubenge kwao Tabora na akasimamishwa na msomi wa Ngumbalu, Prof hawezi kupata huo Ubunge.
 
BTW I don't need to hear or even see these terrorists with their Islamic religion. I usually run an Antivirus in my head to get rid of any stories I once heard about this religion!
 
Katika nchi yenye mihimili inayofuata demokrasia.. tucingecikia kelele za kuitaka serikali kumuachia huru mtuhumiwa kwa kuwa mhimili wa mahakama ndo ungekuwa unahucika na hili.. Bt kwa hapa bongo.. mahakama iko chini ya serikali..
 
marekani nchi yenye mfumo mama wa kikristo ndio nchi inayoongoza kwa idadi ya watu wanaosilimu kwa mwezi wengi wao wakiwa wanawake, nd ww unayesema waislamu tunapigana wenyewe kwa wenyewe cjui huna upeo w kuyaangalia mambo kiundani au unayachukua tu juu juu na kuyasambaza, mbona sisi hapa tuliambiwa tusipokuwa waanglikana (ndoa za jinsia moja) tutakosa misaada hatujajudge kuwa wakiristo wote ni waanglikana
 

Jamani msimlaumu mapumba yeye ni orjino le profeseri if u know what i mean.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…