Nyie Pro-Chadema kwa hiyo mnataka Ponda asiachiwe.
Huyu mse...e ndio maana hajawa rais, hii mambo ya kusema aachiwe ili kurejesha amani ina maana wanataka kujenga mazingira kwamba sheikh ubwabwa yoyote akikamatwa aachiwe kwa kuogopa vurugu za kitoto. kachomeni st joseph muone k..... a zenu nyie muone tutakacho wafanya.Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba ameitaka serikali kumuachilia kwa dhamana Sheikh Ponda Issa Ponda kwani amewekwa ndani kinyume na utaratibu.
Prof Lipumba amedai kusema kwamba Sheikh Ponda alihusika na uchomaji wa makanisa ni uongo na kitendo cha kumkamata ndicho kilichochochea vurugu zilizofanyika wiki iliyopita.Amesema ili kurejesha amani na kunusuru nchi kuingia katika mfarakano ni lazima kwanza kiongozi huyo wa waislam aachiliwe huru.
Source:Mwananchi.
huyu anatafuta kunyolewa tu! Kanyoe saluni kibwenzi serikali mashine zake zimeharibika kutokana na ugumu wa ndevu za farida. Au unakwepa gharama prof....? Siamini hela unayo usitafute kunyolewa dezo. Wananyoa hao!mwenyekiti wa cuf prof ibrahim lipumba ameitaka serikali kumuachilia kwa dhamana sheikh ponda issa ponda kwani amewekwa ndani kinyume na utaratibu.
Prof lipumba amedai kusema kwamba sheikh ponda alihusika na uchomaji wa makanisa ni uongo na kitendo cha kumkamata ndicho kilichochochea vurugu zilizofanyika wiki iliyopita.amesema ili kurejesha amani na kunusuru nchi kuingia katika mfarakano ni lazima kwanza kiongozi huyo wa waislam aachiliwe huru.
Source:mwananchi.
dhubutu!huyu mse...e ndio maana hajawa rais, hii mambo ya kusema aachiwe ili kurejesha amani ina maana wanataka kujenga mazingira kwamba sheikh ubwabwa yoyote akikamatwa aachiwe kwa kuogopa vurugu za kitoto. Kachomeni st joseph muone k..... A zenu nyie muone tutakacho wafanya.
Huyu mse...e ndio maana hajawa rais, hii mambo ya kusema aachiwe ili kurejesha amani ina maana wanataka kujenga mazingira kwamba sheikh ubwabwa yoyote akikamatwa aachiwe kwa kuogopa vurugu za kitoto. kachomeni st joseph muone k..... a zenu nyie muone tutakacho wafanya.
Labda kituo cha kibanda maiti huko zenji kwa wadiniMkuu hawa baadhi ya member humu jamii forum ndo wanaizamisha Chadema kabisa maana wana baadhi sifa zifuatazo,
i) Kejeli, kitu chochote ambacho kinafanya na waislam basi hata kama kina manufaa wao wanakejeli
i) Dharau, kwa mtazamo wao wanadhani kwamba wao ndio binadamu wenye akili kwa maana kwamba kingine chochote konachofanywa na mtu mwingine hususani muislam basi cha kwanza wao ni kudharau
iii) Matusi, nadhani hapa sihitaji kuelezea sana maana ukitaka ushahidi fungua thread yoyote inayohusu mtu yeyote mwenye itikadi ya kiislam utashuhudia
iv) Wanajua sana, wao ndio kila kitu hakuna mwingine
Sasa mimi nilikuwa nina ushauri ufuatao
Tanzania ni nchi kubwa sana ambayo population yake kubwz iko vijijini na ndio hao wapiga kura wengi sasa kama kila kukicha kazi kuwaponda waislam na kuwadharau kwa kila jambo wanalolifanya unategemea uingie ikulu kweli?
Hata kama mtakuja munitukane na mimi hapa lakini nasema kwa style hii Chadema hatochukua hii inchi kwa kutegemea wafuasi wenye sifa tajwa hapo juu.
Na wakumbuke wengi wao wanaofanya hayo matukio tajwa hapo juu huwa hawapigi kura mfano mwaka 2010 nilikuwa msimamizi katika moja ya kotuo cha uchaguzi, kati ya wapiga kura 400 waliofika ni 150 tu na wengi wao wakiwa vyama vingine tofauti na Chadema na wakati huo huo wafuasi wake walikuwa wanakelele sana mtaani.
Ni hayo tuu, kwa sasa!
kituo cha uchaguzi
Sidhani kama ni kweli, ila kauli ya prof inamuondoa kuwa na sifa ya kuwa rais. Anawezaje kusema Sheikh Ponda hana kosa wakati kesi iko Mahakamani?
Labda amenukuliwa sivyo, naamini kesho atakuja kukanusha.
mkuu naona unatumia lugha ya kikristo vipi andika kiarabuI think it was a slip of the keyboard! anyway you got it! Saudi arabia is more political name as you mentioned but I do not think that there are religious disputes in Saudi Arabia! do they exist? if yes, I can not give you a secret behind what is going on all over the world about Islam!
Labda kituo cha kibanda maiti huko zenji kwa wadini
Kwenda zako huko gamba mdini mkubwa wala usilete vitisho vyako unataka tunyenyekee magaidi kwaajili ya kura mwaka huu mtanyolewa ndevu sana na huyo rais wenuWatu kama nyinyi ndo mnaizamisha Chadema na kuhakikishia hamtashinda uraisi mimi nipo hapa
Kwenda zako huko gamba mdini mkubwa wala usilete vitisho vyako unataka tunyenyekee magaidi kwaajili ya kura mwaka huu mtanyolewa ndevu sana na huyo rais wenu
Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba ameitaka serikali kumuachilia kwa dhamana Sheikh Ponda Issa Ponda kwani amewekwa ndani kinyume na utaratibu.
Prof Lipumba amedai kusema kwamba Sheikh Ponda alihusika na uchomaji wa makanisa ni uongo na kitendo cha kumkamata ndicho kilichochochea vurugu zilizofanyika wiki iliyopita.Amesema ili kurejesha amani na kunusuru nchi kuingia katika mfarakano ni lazima kwanza kiongozi huyo wa waislam aachiliwe huru.
Source:Mwananchi.
Hapa napo kanisa lipo kazini, waislamu kuweni makini na hizi post
subira inatakiwa.
Naona unatapatapa tu,okey whats your opinion kuhusu dhamana?maana ndio suala la msingi la lipumba
Ndugu, Ponda anazo TUHUMA kadhaa; kwamba hiyo ya kuchoma makanisa ni miongoni mwa hizo tuhuma mimi sifahamu wala simo! Ila kama hiyo ni miongoni mwa tuhuma, siyo kazi ya Lipumba na CUF yake ku-rule out kwamba ni UONGO au SIYO UONGO bali ni kazi ya Mahakama pekee na hoja iliyoko mezani ndiyo hiyo! Otherwise, huyo Shehe kupewa dhamana ni suala ambalo halina mjadala. Natumaini umeelewa sasa.
Lipumba sio mahakama, Mahakama ina taratibu zake. Pia hawezi kuongelea suala hilo wkt Sheikh Ponda mwenyee alisema kwa mdomo wake ndani ya Redio iman kuwa alitoka Chang'ombe kwenye kiwanja na kwenda Mbagala na kusisitiza mali zote za waislam lazma zirudi na kupongeza kilichotoke mbagala kwa kusema sasa hivi hakuna haja ya kwenda polisi tena ni kufanya kama walivyofanya nmenukuu baadhi ya maneno yake