miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
doh mbona na mimi nilikuwa na mpango nibadilishe avatar yangu isije mkanishambulia kama mlivyomshambulioa @ytized sasa au nikupe kazi hiyo ya kunichagulia avatar wewe???
Kuna harusi nilihudhulia ya kurwa na doto waliamua kufunga ndoa na wapenzi wao waislamu swaafi. Sasa pale ukumbini ilisomwa sala kabisaa na shehe kupiga marufuku na kulaani unywaji wowote wa kilevi ktk harusi, cha ajabu baada ya dua, watu wakaingia na mabia yao toka nje! Acha watu wagambike sasa! Full mavurugu.
Utakuta mtu ni muislam au mkristu halafu harusi au sherehe inajaa pombe. Mbaya zaid watu wanafunga ndoa Jumamos au Ijumaa, au Alhamis then kesho yake ni siku ya ibada/misa! Je, wadau watahudhuria ibada kweli? Kwa kweli nawapongeza makanisa wanaozuia mipombe ktk harusi, maana inachafua sherehe. Pia ndg zangu waswaha hongereni kwa sheria ya kupinga ulevi hasa ktk sherehe!
Ndoa ni tendo takatifu, sio vizuri kuichanganya na ulevi ambapo shetani atajihudhurisha.
Zipo dhambi nyingi, ila leo nimeiongea hii maana sherehe zinaharibiwa zaidi na ulevi.
Wasalaam!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
duh haya bana tatizo kuna baadhi ya watu wananidefine kutokana na avatar yangu wanahisi ni babu teh teh na mtu mmoja very conseravativehiyo yako inakufaa usibadili bwana mimi maua napenda naweka kila siku so uwezi ona sura ya mtu hapo
haya han sibadili tena ila hata wewe kidogo pia ulitupa shida ulivyobadilisha na kama hiyo ndo kesi sijui Excel anaebdailisha kila siku unamweka fungu ganiSijui kwanini avatar ikibadilika huwa ni kama identity imebadilika?
Its like a different person.
Don't change bwana.
Unataka watu wazima wafanye toto party, mambo ya juice na soda km nyuki!
duh haya bana tatizo kuna baadhi ya watu wananidefine kutokana na avatar yangu wanahisi ni babu teh teh na mtu mmoja very conseravative
hapana bwana mimi sitaki nitakuacha ujueMupenzi yangu nimezeeka kidogo ujue!!
Kuna harusi nilihudhulia ya kurwa na doto waliamua kufunga ndoa na wapenzi wao waislamu swaafi. Sasa pale ukumbini ilisomwa sala kabisaa na shehe kupiga marufuku na kulaani unywaji wowote wa kilevi ktk harusi, cha ajabu baada ya dua, watu wakaingia na mabia yao toka nje! Acha watu wagambike sasa! Full mavurugu.
Utakuta mtu ni muislam au mkristu halafu harusi au sherehe inajaa pombe. Mbaya zaid watu wanafunga ndoa Jumamos au Ijumaa, au Alhamis then kesho yake ni siku ya ibada/misa! Je, wadau watahudhuria ibada kweli? Kwa kweli nawapongeza makanisa wanaozuia mipombe ktk harusi, maana inachafua sherehe. Pia ndg zangu waswaha hongereni kwa sheria ya kupinga ulevi hasa ktk sherehe!
Ndoa ni tendo takatifu, sio vizuri kuichanganya na ulevi ambapo shetani atajihudhurisha.
Zipo dhambi nyingi, ila leo nimeiongea hii maana sherehe zinaharibiwa zaidi na ulevi.
Wasalaam!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
hapana bwana mimi sitaki nitakuacha ujue
Dume la mbegu huwa anaachwaachwaje lakini? Haiwezekani. Utarudi tu walahi. Mimi kitu wamebaki wanne tu duniani.
sitaki rudisha bwana lakini
Relax dear!, I am looking for it. Thank you.
teh teh teh haya sibadilishi tena ila mind you mimi sio babuokey siyo mbaya ila ndo inakufaa mkuu kukaa kama babu