Pombe mwanaharamu

Mie kuna wakati alikuwa ananipenda kwa ile ID yake nyingine ilaaaa 🀣 ghafla akaanza vita na mimi na sababu za kuniattack hazina kichwa wala miguu

Huwa nahisi kuna sehemu nilikoment jambo kinyume na anavyopenda
Yaani yule ana depression kali sanaπŸ˜†..kazi ipo
 
Hahaha mie kidogo nimpigie x nimwambie still nampenda and am inlove bado πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ ashukuriwe niliekuwa nae alininyanyua tukacheze mziki. Na ningeipiga ile simu
😁😁😁yeye ndo alikuacha inaonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…