Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,130
Ahahahah mkuu ukute upo dar nini.ππππNi wakenya sio watu wa dar
Yaani yule ana depression kali sanaπ..kazi ipoMie kuna wakati alikuwa ananipenda kwa ile ID yake nyingine ilaaaa π€£ ghafla akaanza vita na mimi na sababu za kuniattack hazina kichwa wala miguu
Huwa nahisi kuna sehemu nilikoment jambo kinyume na anavyopenda
Nipo Mpanda vijijiniAhahahah mkuu ukute upo dar nini.ππππ
Mm sio kitu sio chchtSasa kaka kweli mi nikunafikie weww mkuu ππππ
πππyeye ndo alikuacha inaonekanaHahaha mie kidogo nimpigie x nimwambie still nampenda and am inlove bado πππ ashukuriwe niliekuwa nae alininyanyua tukacheze mziki. Na ningeipiga ile simu
Na ukimjibu hasira zake zikipanda akikujibu hujui nini anachoandika anamaanisha nini π€£Yaani yule ana depression kali sanaπ..kazi ipo
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Namuombeaga apate mume aise huenda akatulia.hajawahi kueleweka kbs nini anatakaπππNa ukimjibu hasira zake zikipanda akikujibu hujui nini anachoandika anamaanisha nini π€£
Yes. Too much is harmfulPombe si mwanaharamu bali ainywaye bila busara na kiasi. Pombe si mbaya bali wale waitumiayo vibaya.
Hii ishu ya vijana wa dar sijasema wote mkuu ni baadhi kuna wengine hawana hayo.mamboNipo Mpanda vijijini
Nimepunguza mkuu kuacha ni ngumu
Hapana mbaga wee mi nakuona mtu flan na heshima zako mkuu japo kuna watu wanafosi uwe wa hovyo ila naamini your genius remain mkuu kama kukuambia hvo nakukera naomba nisamehe mkuu ππππππMm sio kitu sio chcht
Mbona kuna wakati anasema hatafuti wanaume,mara ana mahusiano yake ππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Namuombeaga apate mume aise huenda akatulia.hajawahi kueleweka kbs nini anatakaπππ
Atakuwa kaopoa mshangaziWrite your reply...
Where is tumbili wa mini?
Kama umeweza kupunguza utaweza tu kuacha huko mbeleniNimepunguza mkuu kuacha ni ngumu
Tusaidiane tuache hii kituππEh tuwe marafiki tusaidianeπ
Yeah! Nikiolewa na mchungaji nitaachaππKama umeweza kupunguza utaweza tu kuacha huko mbeleni
πΉ Nimelia sanaHapana mbaga wee mi nakuona mtu flan na heshima zako mkuu japo kuna watu wanafosi uwe wa hovyo ila naamini your genius remain mkuu kama kukuambia hvo nakukera naomba nisamehe mkuu ππππππ
Hapa tu tayari nishaharibu hukoπTusaidiane tuache hii kituππ
Wachungaji wanakunywa pombe kisiri siriYeah! Nikiolewa na mchungaji nitaachaππ