Pombe mwanaharamu

Huyo mwingine usimtaje tafadhali πŸ˜‚πŸ˜‚
Manake akija hapa hataangalia ni nani kamtaja...ataanza na mimi kama nilishawahi kumuibia bwana
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†Naonaga anamuattack balaa watu8.majuzi juzi kahamia kwa mshana🀣..kazi ipo
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†Naonaga anamuattack balaa watu8.majuzi juzi kahamia kwa mshana🀣..kazi ipo

Mie kuna wakati alikuwa ananipenda kwa ile ID yake nyingine ilaaaa 🀣 ghafla akaanza vita na mimi na sababu za kuniattack hazina kichwa wala miguu

Huwa nahisi kuna sehemu nilikoment jambo kinyume na anavyopenda
 
Duuh kwanini sasa nyie wajanja wa dar mpo hivi aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…