eRRy
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 1,125
- 204
Tatizo gongo huchelewi kuzimika watu wakala tigo.
Ulijuwaje we Chrispin??? teh teh teh teh.....pole sana!
Tatizo gongo huchelewi kuzimika watu wakala tigo.
Ulijuwaje we Chrispin??? teh teh teh teh.....pole sana!
do that,najua utanishukuru,wala sina hofu kuhusu hilo mkuuNgoja nikajaribu afu ntakuPM kukushukuru au kukulaumu.
kwa nini ukimbilie huko kwenye mijipombe? Lazima utakuwa una mapungufu, halafu kero anayoipata mwenzio kwa mijiharufu ya pombe wewe hufahamu tu naomba fl1 au vc wathibitishe hapa. Kuna jamaa mmoja alikuwa anapenda sana kumtisha demu wake kwamba leo umekwisha ukija hurudi kwenu si unajua majigambo ya sisi wanaume, akilini kwa mwanaume anadhani akinywa konyagi au hizo mnazozitaja demu akija ni kudo kwa bidii na kuchelewa kufika kileleni ndo unakuwa umemtesa/umemridhisha demu au wewe ndo rijali au wewe ndo fundi wa tendo hilo kumbe akilini kwa mwanamke anawaza leo jamaa nikifika ataanza na kwa romance mara kashika hapa mara pale, kachezea hapa, kageuza hivi kanyonya hiki eeenh caress ya taratiiiibu maneno matamu, compliments kwa sana eeenh nguao zinatolewa taratiiibuu moja moja mpaka mtoto wa watu anapotea kwenye mahaba anakuwa yupo dunia nyingine sasa hapo mambo mengine yanaendelea kumbe huyo jamaa yeye demu akija akishamsaula/wakisaula kwa sababu ya drive ya mapombe yake anachojua ni penetration tuuu na bidii kwa sana tena na akimaliza basi anakoroma tuuuuuu hahahaha wenzetu hawa jamani wanahitaji tender care na si mijinguvu na mijipombe tunayotambia hapa. Kwangu pombe inaniharibia stimu kwa sababu nimeshazoe ku do kwa nafasi ya namna hii. Huwa mwenza wangu haishi kuuomba tena na tena.
Wana-JF, Heshima mbele!
Hivi kuna ukweli wowote kwamba ikipiga konyagi, valeur, gordon ama gin/spirit yoyote, game yake inakuwa si mchezo??????
Is it scientifically proved? Je wasiokunywa pombe inakuwaje, ama ndo iption ya KIFARU!
Hii mi sijui kama ni kweli,coz nimeshajaribu tumia lakini mashine inasimama nikitaka ku doo inalala,yaani ninamawazo ambayo sijui nitayamalizaje,i cant overcome this situation!!
Lol! Mkuu angalia usije ukatumbukia kwenye gongo.
Kwa nini ukimbilie huko kwenye mijipombe? lazima utakuwa una mapungufu, halafu kero anayoipata mwenzio kwa mijiharufu ya pombe wewe hufahamu tu naomba FL1 au VC wathibitishe hapa. Kuna jamaa mmoja alikuwa anapenda sana kumtisha demu wake kwamba leo umekwisha ukija hurudi kwenu si unajua majigambo ya sisi wanaume, akilini kwa mwanaume anadhani akinywa konyagi au hizo mnazozitaja demu akija ni kudo kwa bidii na kuchelewa kufika kileleni ndo unakuwa umemtesa/umemridhisha demu au wewe ndo rijali au wewe ndo fundi wa tendo hilo KUMBE AKILINI KWA MWANAMKE anawaza leo jamaa nikifika ataanza na kwa romance mara kashika hapa mara pale, kachezea hapa, kageuza hivi kanyonya hiki eeenh caress ya taratiiiibu maneno matamu, compliments kwa sana eeenh nguao zinatolewa taratiiibuu moja moja mpaka mtoto wa watu anapotea kwenye mahaba anakuwa yupo dunia nyingine sasa hapo mambo mengine yanaendelea KUMBE huyo jamaa yeye demu akija akishamsaula/wakisaula kwa sababu ya drive ya MAPOMBE yake anachojua ni penetration tuuu na bidii kwa sana tena na akimaliza basi anakoroma tuuuuuu hahahaha WENZETU HAWA JAMANI WANAHITAJI tender care na si mijinguvu na mijipombe tunayotambia hapa. kwangu pombe inaniharibia stimu kwa sababu nimeshazoe ku do kwa nafasi ya namna hii. huwa mwenza wangu haishi kuuomba tena na tena.
ole wenu mnaotumia pombe kali kuongeza ufanisi kwenye tendo la ndoa.............!
UNAJUA MASWALA MENGINE HAYAITAJI VIFUNGU!...ni common senseTupe kifungu Mkuu!
LEO UNAKANA HII KITU??UNAJUA MASWALA MENGINE HAYAITAJI VIFUNGU!...ni common sense
usinywe valuu ukijiandaa kwamba unaenda kupiga mashine...!NI UDHAIFU MKUBWA SANA
japo ya zamani lakini xpin unahitaji kudumisha mila hapa.unajidai....huna lolote.
Wana-JF, Heshima mbele!
Hivi kuna ukweli wowote kwamba ikipiga konyagi, valeur, gordon ama gin/spirit yoyote, game yake inakuwa si mchezo??????
Is it scientifically proved? Je wasiokunywa pombe inakuwaje, ama ndo iption ya KIFARU!
kuliko mapombe si bora utumie vodafasta ya masai chapu chapu na dada lazima akome