witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,747
Uko kama mimiPombe Soda Betting Papa Sigara Unga.....hivi vilevi acha si vya kugusa kabisa. Natamani kuacha soda nashindwa kila nikiiona kwenye fridge ikitoka jasho basi nahisi kama kutetemeka lazima ninywe Pepsi Bongehata sijui nataachaje
....yaan nisione stone tangawizi baridi, nadata..

inshaalah!
..yani nikipita karibu na bar nasikia koo linawasha