Pombe inanitesa mwenzenu!

Pombe inanitesa mwenzenu!

Nimeupokea ushauri wako kwa mikono miwili na vidole kumi mkuu.
Inaelekea wewe una pepo tu, si mlevi kivile kwani kama ukitaka kuacha utaacha tu. Si unaona umekuja hapa na akili timamu na kuandika kitu ambacho kinaeleweka, hii ni dalili mojawapo kuwa wewe si mlevi ila muonjaji tu. Ushauri wangu kwako: Wacha uonjaji pombe utakulostisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
m mpk nshaona ka inacheza na akili yangu,yaan nkiingia bar nkishatupia mbili wale wahudum wote ambao nlikua nmewaona kichefuchefu wkt naingia wanaanz kua kina Rihna,Beyonce na J lo,nmejarbu sana ku stop imeshnkana ila uzur tu m n mnywaj c mlevi
 
Kabla hujalala, sema sitaki kunywa pombe mara 200. Na ukiamka sema hivyo hivyo kimoyo moyo mara 200. useme kwa hisia kali sana huku ukikumbuka madhara yaliyotokea, mademu wakali uliopoteza, masela walivyokudharau na mambo mengine mengi mabaya yaliyosababishwa na pombe. Na wakati unafanya hivyo uwe umekusudia kwa dhati kuacha.

Fanya hivyo kwa mwezi mmoja, utabadilika..kwani pombe utaichukia kuliko unavyomchukia shetani.
Usipobadilika, nna njia mbadala...




Satan
Subconscious Mind ambapo ndipo kila maamuzi yanapofanyika bila utashi wako huwa haijui SItaki na NAtaka..... kwa waliosoma NEUROLINGUISTIC PROGRAMMING wanajua jambo hili, yaani ukifanya hivi ulivyoseama ndio atakunywa mara 200 ya kawaida yake
 
Wadau pombe imekua ikinitesa mda mrefu sasa,imenirudisha sana nyuma kimaendeleo,wanawake wananikimbia na wakati mwengine nashindwa hata kufanya kazi zangu pia network zinakata na najikuta natukana na kufanya mambo ya ajab ajabu,hua naacha kwa week 1 then narudi kwa kas ya 4G,naomba mdau yeyote aliewahi kuacha,aliyenaushauri au mwenye dawa ya kuacha hii mboyoyo anisaidie.Nahitaji msaada wenu wadau,dhihaka sio mahali pake! Ahsanten.
Aisee umeongea huku unaumia wakati huohuo unacheka.....hukuwa unacheka wewe ni akili ya pombe.
Nachojua pombe haina dawa ila ni saikolojia treatment inahitajika....anza training ya kufanya vya muhimu zaidi kuliko pombe mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikitaka kulewa huwa nabeba helaa ambayo najua hata ikiisha sitaumia rohoo... Lazima niwe na wanangu..Huwa naamka sijui simu ipo wala wallet ninaamka na Hangover tu..! Na nikinywa natakaga nilewee mpaka nkilala nkiamka sikumbuki ilikuwaje nkafika bed.... Ndo maana sio mlevi sana maana siwezi kulewa bila wanaa

Hahaa duh kiukwel nikinywa pombe nataka kwel niisikie nimelewa,
Ndo maana napenda kutokunywa peke yangu make nitaibiwa sana.
Uzur nimekua nimekubusy sana siwez kunywa mpaka jpil tu unakuta unafidi ya week nzima.
Siwez kunywa kati kat ya week make kunakuharibu kaz hapo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa duh kiukwel nikinywa pombe nataka kwel niisikie nimelewa,
Ndo maana napenda kutokunywa peke yangu make nitaibiwa sana.
Uzur nimekua nimekubusy sana siwez kunywa mpaka jpil tu unakuta unafidi ya week nzima.
Siwez kunywa kati kat ya week make kunakuharibu kaz hapo


Sent using Jamii Forums mobile app
Bhasi tunafanana mkuu.. Siwezi kulewa nusu nusuu bora nilalee tuu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
m mpk nshaona ka inacheza na akili yangu,yaan nkiingia bar nkishatupia mbili wale wahudum wote ambao nlikua nmewaona kichefuchefu wkt naingia wanaanz kua kina Rihna,Beyonce na J lo,nmejarbu sana ku stop imeshnkana ila uzur tu m n mnywaj c mlevi
 
Kama ulevi umekuchosha Njoo kwa Yesu
Anakata kiu yote Asante
 
Wadau pombe imekua ikinitesa mda mrefu sasa,imenirudisha sana nyuma kimaendeleo,wanawake wananikimbia na wakati mwengine nashindwa hata kufanya kazi zangu pia network zinakata na najikuta natukana na kufanya mambo ya ajab ajabu,hua naacha kwa week 1 then narudi kwa kas ya 4G,naomba mdau yeyote aliewahi kuacha,aliyenaushauri au mwenye dawa ya kuacha hii mboyoyo anisaidie.Nahitaji msaada wenu wadau,dhihaka sio mahali pake! Ahsanten.

Kitendo chakugundua pombe ni tatizo kwako ni step ya kwanza trust me utaacha in no time
 
Back
Top Bottom