Pombe inanitesa mwenzenu!

Pombe inanitesa mwenzenu!

Pombe isikie tu!! Ikiamua kukungangania ni noma! Inakuwa kama ina akili,ukisema unaacha,ukajitahidi kutulia siku mbili/tatu,spidi utakayorudi nayo ni ya hatari!
Yan cjui inanini asee!
 
Ndio maana wazungu wakatengeneza kitu kinaitwa "rehabilitation centers" au unaweza kuziita Rehab watu kama wakina chriss brown wamehaki kupelekwa huko. kama kuna dawa ya kunywa ukaweza kuacha wengi wengekunywa hio. Kaka si kazi rahisi kuacha kaka, unaweza kusema sasa nawacha lakini si rahisi kihivyo, ndo maana unakuta wengine wakishapiga vyombo wanalia tuu. Si rahisi hata kidogo.
 
Umri unaruhusu pombeka mkuu januari hadi disemba. Mimi huwa nalewa mwaka mzima,mchana naweka silence.
Asee nami nilianza mwaka mpya! Mwaka unaisha sasa cna nlichokifanya
 
Ndio maana wazungu wakatengeneza kitu kinaitwa "rehabilitation centers" au unaweza kuziita Rehab watu kama wakina chriss brown wamehaki kupelekwa huko. kama kuna dawa ya kunywa ukaweza kuacha wengi wengekunywa hio. Kaka si kazi rahisi kuacha kaka, unaweza kusema sasa nawacha lakini si rahisi kihivyo, ndo maana unakuta wengine wakishapiga vyombo wanalia tuu. Si rahisi hata kidogo.
..
 
Back
Top Bottom