Pombe inanitesa mwenzenu!

Pombe inanitesa mwenzenu!

Pole sana.
Kama ni mkristo nenda kwenye makanisa ya kiroho, yatakusaidia kuacha. Lakini pia kupanga ni kuchagua, ukiamua kuacha unaweza
jana pombe ingenifanya nikose issue ya maana sana. nilienda bar kugonga supu nitoe wenge nikaanza kula vyombo castle lager kubwa nafika ya tatu jamaa ananipigia niende ofisini faster. nikamwambia nipo around kumbe nipo mbali kwelikweli. nikapanda gari nafika anataka kutoka . nilijisikia aibu na kujiona sipo serious hata na mambo yangu mwenyewe. pombe we pombe sio nzuri inaharibu mambo mengi sana. kuchelewa kufika maeneo muhimu na kunuka pombe asubuhi, kuwa dis organzed nk
 
Wadau pombe imekua ikinitesa mda mrefu sasa,imenirudisha sana nyuma kimaendeleo,wanawake wananikimbia na wakati mwengine nashindwa hata kufanya kazi zangu pia network zinakata na najikuta natukana na kufanya mambo ya ajab ajabu,hua naacha kwa week 1 then narudi kwa kas ya 4G,naomba mdau yeyote aliewahi kuacha,aliyenaushauri au mwenye dawa ya kuacha hii mboyoyo anisaidie.Nahitaji msaada wenu wadau,dhihaka sio mahali pake! Ahsanten.
Mkuu ukipata tatizo LA figo mbona utaacha kwa lazima
 
kama umeamua kuiacha amini kuwa kwenye ulimwengu usioonekana teyari jambo hilo limetimia....kama tutakua hai...mwakani mwezi kama huu utakuja hapa kutoa ushuhuda...utaacha pombe kwa njia ya ajabu ambayo ata wewe utashindwa kuielezea hapo baadaye....Mungu akupe hitaji la moyo wako
 
Wadau pombe imekua ikinitesa mda mrefu sasa,imenirudisha sana nyuma kimaendeleo,wanawake wananikimbia na wakati mwengine nashindwa hata kufanya kazi zangu pia network zinakata na najikuta natukana na kufanya mambo ya ajab ajabu,hua naacha kwa week 1 then narudi kwa kas ya 4G,naomba mdau yeyote aliewahi kuacha,aliyenaushauri au mwenye dawa ya kuacha hii mboyoyo anisaidie.Nahitaji msaada wenu wadau,dhihaka sio mahali pake! Ahsanten.
kama unautaji wa kuacha kabisa njoo PM
 
As long umedhamiria kuacha kutoka moyoni basi utaacha.Lkn pia ukipata mtu atakae kusaidia ktk hilo utafanikiwa ndugu.lkn pia nenda kwny maombi,Mungu hashindwi na jambo lolote.
Nilikuwa na boyfrnd wangu ambapo kbl ya kuwa na reltshp nae,alikuwa ni mlevi kuliko kawaida,kwa siku moja aliweza kumaliza cret moja la bia,mpk alianza kuwa mzee na sura kukongoroka,alishindwa kupiga hatua kimaisha ukilinganisha na umri wake(32 yrs),baada ya kuanza mahusiano nae nilianza kumsaidia ili aache pombe ,alionyesha dhamira ya kuacha na mwisho wa siku aliacha ingawa sio kitendo cha ghafla,ilichukua muda kdg lkn mwisho aliacha kbs.
Hongera sana
 
Back
Top Bottom