As long umedhamiria kuacha kutoka moyoni basi utaacha.Lkn pia ukipata mtu atakae kusaidia ktk hilo utafanikiwa ndugu.lkn pia nenda kwny maombi,Mungu hashindwi na jambo lolote.Wadau pombe imekua ikinitesa mda mrefu sasa,imenirudisha sana nyuma kimaendeleo,wanawake wananikimbia na wakati mwengine nashindwa hata kufanya kazi zangu pia network zinakata na najikuta natukana na kufanya mambo ya ajab ajabu,hua naacha kwa week 1 then narudi kwa kas ya 4G,naomba mdau yeyote aliewahi kuacha,aliyenaushauri au mwenye dawa ya kuacha hii mboyoyo anisaidie.Nahitaji msaada wenu wadau,dhihaka sio mahali pake! Ahsanten.
Asante kwa ushauriAs long umedhamiria kuacha kutoka moyoni basi utaacha.Lkn pia ukipata mtu atakae kusaidia ktk hilo utafanikiwa ndugu.lkn pia nenda kwny maombi,Mungu hashindwi na jambo lolote.
Nilikuwa na boyfrnd wangu ambapo kbl ya kuwa na reltshp nae,alikuwa ni mlevi kuliko kawaida,kwa siku moja aliweza kumaliza cret moja la bia,mpk alianza kuwa mzee na sura kukongoroka,alishindwa kupiga hatua kimaisha ukilinganisha na umri wake(32 yrs),baada ya kuanza mahusiano nae nilianza kumsaidia ili aache pombe ,alionyesha dhamira ya kuacha na mwisho wa siku aliacha ingawa sio kitendo cha ghafla,ilichukua muda kdg lkn mwisho aliacha kbs.
huu mchupa wa pombe ni wa wa watu wasiojulikana
pombe ipi.... ile ya magogoni au ya kilabuni?Wadau pombe imekua ikinitesa mda mrefu sasa,imenirudisha sana nyuma kimaendeleo,wanawake wananikimbia na wakati mwengine nashindwa hata kufanya kazi zangu pia network zinakata na najikuta natukana na kufanya mambo ya ajab ajabu,hua naacha kwa week 1 then narudi kwa kas ya 4G,naomba mdau yeyote aliewahi kuacha,aliyenaushauri au mwenye dawa ya kuacha hii mboyoyo anisaidie.Nahitaji msaada wenu wadau,dhihaka sio mahali pake! Ahsanten.
Bila Shaka huyo jamaa yako alikuwa vzr maana mwanamke kumvumilia mwanaume naukaamua kumtreat mpaka akaacha pombe sio bureeee kabisaAs long umedhamiria kuacha kutoka moyoni basi utaacha.Lkn pia ukipata mtu atakae kusaidia ktk hilo utafanikiwa ndugu.lkn pia nenda kwny maombi,Mungu hashindwi na jambo lolote.
Nilikuwa na boyfrnd wangu ambapo kbl ya kuwa na reltshp nae,alikuwa ni mlevi kuliko kawaida,kwa siku moja aliweza kumaliza cret moja la bia,mpk alianza kuwa mzee na sura kukongoroka,alishindwa kupiga hatua kimaisha ukilinganisha na umri wake(32 yrs),baada ya kuanza mahusiano nae nilianza kumsaidia ili aache pombe ,alionyesha dhamira ya kuacha na mwisho wa siku aliacha ingawa sio kitendo cha ghafla,ilichukua muda kdg lkn mwisho aliacha kbs.
😂😂😂 alikuwa na mazuri yake kwa kweli pia nilimpenda sana. lkn shida alikuwa nazo zilizopelekea kuachana ! Ila up to date ananishukuru sn kw kuweza kumsaidia kuacha pombeBila Shaka huyo jamaa yako alikuwa vzr maana mwanamke kumvumilia mwanaume naukaamua kumtreat mpaka akaacha pombe sio bureeee kabisa
Vizuri sana ila ningekuwa me ndio kama wewe ningemvuta nahuyu jamaa karibu yangu nikamtreat mpaka akaacha pombe yawezekana ndio Mungu kakuumbia hivyoalikuwa na mazuri yake kwa kweli pia nilimpenda sana. lkn shida alikuwa nazo zilizopelekea kuachana ! Ila up to date ananishukuru sn kw kuweza kumsaidia kuacha pombe
Uwe na usiku mwema bossVizuri sana ila ningekuwa me ndio kama wewe ningemvuta nahuyu jamaa karibu yangu nikamtreat mpaka akaacha pombe yawezekana ndio Mungu kakuumbia hivyo
Nawewe pia mkuu ulale salamaaaUwe na usiku mwema boss
AsanteeeNawewe pia mkuu ulale salamaaa