Pombe inanitesa mwenzenu!

Pombe inanitesa mwenzenu!

Pombe Soda Betting Papa Sigara Unga.....hivi vilevi acha si vya kugusa kabisa. Natamani kuacha soda nashindwa kila nikiiona kwenye fridge ikitoka jasho basi nahisi kama kutetemeka lazima ninywe Pepsi Bonge hata sijui nataachaje
 
Mkuu ukitaka kuacha pombe anza kutokunywa bia ya kwanza pamoja na marafiki atleast utapunguza mi nililuwa napiga mtungi ila now days nimepunguza naweza kukaa hata miez miwili imekuwa ni just occasion ila sio sehemu ya maisha
Cna campan mkuu,nikiwaza tu iyo kitu koo linawasha!
 
Kwan huwa unakuwaga na Kampan au alone?, unakunywa bia gan?, Hapa nataka kujua ww ni mnywaj wa namna gan ili tujue nguvu tuwezeke wap kwenye kukushaur
Alone mkuu,zamani nlikua mkemia mkuu..balimi,jibapa,henenga mnyama mkali,hakuna nisichokunywa..ila nowdayz napiga wine ila glass moja tu akili zinachange!
 
Peke yako huwezi. Utakaa hata miezi 3 bila kunywa ila ukirudi unarudi kwa speed ya ajabu tena mara 2. Jibu ni Yesu Kristo tu aingie maishani mwako. Yeye ndiye suluhisho la hilo pepo lako. Nenda kanisa la kiroho uokoke tu. 30 yrs ni kijana mno kufukuzwa kazi kwa ajili ya pombe ni mbaya sana
Amen
 
alikuwa na mazuri yake kwa kweli pia nilimpenda sana. lkn shida alikuwa nazo zilizopelekea kuachana ! Ila up to date ananishukuru sn kw kuweza kumsaidia kuacha pombe
Shida gan bi dada? ..alikua hatumikii mali vzr!
 
Vizuri sana ila ningekuwa me ndio kama wewe ningemvuta nahuyu jamaa karibu yangu nikamtreat mpaka akaacha pombe yawezekana ndio Mungu kakuumbia hivyo
Kweli mkuu,hata mimi nimehisi ivo,anivute bas!
 
Pombe Soda Betting Papa Sigara Unga.....hivi vilevi acha si vya kugusa kabisa. Natamani kuacha soda nashindwa kila nikiiona kwenye fridge ikitoka jasho basi nahisi kama kutetemeka lazima ninywe Pepsi Bonge hata sijui nataachaje
Bora betting na soda! Adha ya pombe isikie tu,kwanza asubuhi naamka na arosto..lzma nistue kimoja kwanza
 
Back
Top Bottom