Pombe inanitesa mwenzenu!

Pombe inanitesa mwenzenu!

Kabla hujalala, sema sitaki kunywa pombe mara 200. Na ukiamka sema hivyo hivyo kimoyo moyo mara 200. useme kwa hisia kali sana huku ukikumbuka madhara yaliyotokea, mademu wakali uliopoteza, masela walivyokudharau na mambo mengine mengi mabaya yaliyosababishwa na pombe. Na wakati unafanya hivyo uwe umekusudia kwa dhati kuacha.

Fanya hivyo kwa mwezi mmoja, utabadilika..kwani pombe utaichukia kuliko unavyomchukia shetani.
Usipobadilika, nna njia mbadala...




Satan
 
Kabla hujalala, sema sitaki kunywa pombe mara 200. Na ukiamka sema hivyo hivyo kimoyo moyo mara 200. useme kwa hisia kali sana huku ukikumbuka madhara yaliyotokea, mademu wakali uliopoteza, masela walivyokudharau na mambo mengine mengi mabaya yaliyosababishwa na pombe. Na wakati unafanya hivyo uwe umekusudia kwa dhati kuacha.

Fanya hivyo kwa mwezi mmoja, utabadilika..kwani pombe utaichukia kuliko unavyomchukia shetani.
Usipobadilika, nna njia mbadala...




Satan
Yani ukimaliza kusema hayo maneno 200 unakuta koo limeshakauka balaa,inabidi kupiga funda 3 za bia ili kupooza koo kidogo mkuu.
 
Wadau pombe imekua ikinitesa mda mrefu sasa,imenirudisha sana nyuma kimaendeleo,wanawake wananikimbia na wakati mwengine nashindwa hata kufanya kazi zangu pia network zinakata na najikuta natukana na kufanya mambo ya ajab ajabu,hua naacha kwa week 1 then narudi kwa kas ya 4G,naomba mdau yeyote aliewahi kuacha,aliyenaushauri au mwenye dawa ya kuacha hii mboyoyo anisaidie.Nahitaji msaada wenu wadau,dhihaka sio mahali pake! Ahsanten.
Kuacha ni maamuzi yako tu. Kwani ulipoanza kunywa ulishauriwa na mtu???
 
Huyu jamaa anafanya jokes tuu, walevi wote huwa wanapenda pombe sanaaaa na inakua tamu balaaaaaa, na wengine huwa nanakunywa kwa reason fulan. Na huwa atufikiliii kuacha maana ndo best thing ya mlevi dunian sasa wew chagua kimoja unacho penda. Ulevi au maendeleo full stop ukipenda vyote ongeza plans za kusaka money ndio suruhsho
Thanx brother from another mother!
 
Kabla hujalala, sema sitaki kunywa pombe mara 200. Na ukiamka sema hivyo hivyo kimoyo moyo mara 200. useme kwa hisia kali sana huku ukikumbuka madhara yaliyotokea, mademu wakali uliopoteza, masela walivyokudharau na mambo mengine mengi mabaya yaliyosababishwa na pombe. Na wakati unafanya hivyo uwe umekusudia kwa dhati kuacha.

Fanya hivyo kwa mwezi mmoja, utabadilika..kwani pombe utaichukia kuliko unavyomchukia shetani.
Usipobadilika, nna njia mbadala...




Satan
Ipi mkuu?
 
Alcohol is the enemy of man, BUT,, a man who runs away from his enemies is a coward. Naamini umenipata
 
Wadau pombe imekua ikinitesa mda mrefu sasa,imenirudisha sana nyuma kimaendeleo,wanawake wananikimbia na wakati mwengine nashindwa hata kufanya kazi zangu pia network zinakata na najikuta natukana na kufanya mambo ya ajab ajabu,hua naacha kwa week 1 then narudi kwa kas ya 4G,naomba mdau yeyote aliewahi kuacha,aliyenaushauri au mwenye dawa ya kuacha hii mboyoyo anisaidie.Nahitaji msaada wenu wadau,dhihaka sio mahali pake! Ahsanten.


Inaelekea wewe una pepo tu, si mlevi kivile kwani kama ukitaka kuacha utaacha tu. Si unaona umekuja hapa na akili timamu na kuandika kitu ambacho kinaeleweka, hii ni dalili mojawapo kuwa wewe si mlevi ila muonjaji tu. Ushauri wangu kwako: Wacha uonjaji pombe utakulostisha.
 
Nikitaka kulewa huwa nabeba helaa ambayo najua hata ikiisha sitaumia rohoo... Lazima niwe na wanangu..Huwa naamka sijui simu ipo wala wallet ninaamka na Hangover tu..! Na nikinywa natakaga nilewee mpaka nkilala nkiamka sikumbuki ilikuwaje nkafika bed.... Ndo maana sio mlevi sana maana siwezi kulewa bila wanaa
 
Back
Top Bottom