Pombe inaharibu mahusiano yangu

Jing chu

JF-Expert Member
May 9, 2019
385
592
Wakuu tangu nianze kuishi na huyu bibie amani imepungua ndani kisa ni Mimi kunywa pombe, kabla alijuwa na alikuwa ananiona nakunywa hadi tukaanza kuishi pamoja.

Simtukani, simfanyii fujo, matumizi nampa, every thing nahudumia ila tu akiona nimelamba gambe anamind sana.

Wazoefu wa hizi mambo nifanyeje maana naona kuacha kabisa nimeshindwa nimeshatumia dawa za kienyeji ili kuacha lakini zinagonga mwamba sioni matokeo chanya

Ni hayo tu wakuu. Nategemea ushauri wenu ninusuru mahusino yangu.
 
JAMAAA UKIACHANA NA WACHAGA.


WANAWAKE WA MAKABILA YALOBAKI, HAWAPENDI KUA NA MWANAUME
MLEVI WA POMBE.
MVUTA SIGARA.



Alafu sasa, kwann usigeuze ulevi pombe, uuhamishie kwenye mbunye yake ndo kiwe kilevi chako?
Aiseee unadhani kubadilika ni simple mkuu.
 
JAMAAA UKIACHANA NA WACHAGA.


WANAWAKE WA MAKABILA YALOBAKI, HAWAPENDI KUA NA MWANAUME
MLEVI WA POMBE.
MVUTA SIGARA.



Alafu sasa, kwann usigeuze ulevi pombe, uuhamishie kwenye mbunye yake ndo kiwe kilevi chako?
sahihi kabisa... hiki ndicho nlichokimaanisha
 
Kuna Umri ukifika unaachana na na UJANA ili mambo yaende.


Mwanamke wako anakutaka uwe Mwanaume Bora ambaye utakua mfano kwa watoto wako.

Hataki baadae watoto wakuone baba ni chapombe.


Kwa sasa hamna watoto nalabda upo kwa age ya 28-35 huwez ona tatizo.

Subiri ukishagonga 40 , ndo utajua kwann mkeo alikua anakukataza .
 
Kuna Umri ukifika unaachana na na UJANA ili mambo yaende.


Mwanamke wako anakutaka uwe Mwanaume Bora ambaye utakua mfano kwa watoto wako.

Hataki baadae watoto wakuone baba ni chapombe.


Kwa sasa hamna watoto nalabda upo kwa age ya 28-35 huwez ona tatizo.

Subiri ukishagonga 40 , ndo utajua kwann mkeo alikua anakukataza .
Kuna kitu hapa kikubwa sana.
 
Aiseee unadhani kubadilika ni simple mkuu.
Ohoooo ACHA kujiendekeza, kabla Pombe haijakushinda.


Embu jitahidi kubadilika kwaajili yako. Nayake na watoto wako baadae.


Amini nakuambia, huyo mwanamke wakat ule anakukubalia nisababu alikua hajawa na mawazo yakua Mama wa nyumba ,mama watoto.

Ila kwa sasa amekua nayo.


Lkn pia ngoja nikupe ushauri mdogo tu utanishukuru

Ukiwa umelewa mawazo na K ya mkeo ynakua hayapo, yakiwepo utapiga ili mradi. Ukipiga ilimradi humfikishi popote..

Hamna mlevi wa Pombe mwenye nguvu za kiume.


Embu jitahidi mkuu, achana na mazingira shawishi, naamini unaweza, rejea kwa ushauri wa mkeo.


USHAURI WA MAMA YAKO, NA USHAURI WA MKEO ASILIMIA KUBWA HUWA NI KWAAJILI YA FAIDA YAKO MWENYEWE.
 
Ohoooo ACHA kujiendekeza, kabla Pombe haijakushinda.


Embu jitahidi kunadilika kwaajili yako.


Amini nakuambia, huyo mwanamke wakat ule anakukubalia nisababu alikua hajawa na mawazo yakua Mama wa nyumba ,mama watoto.

Ila kwa sasa amekua nayo.
Kabisa namuona mama.bora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom