Pombe ina imani yake ya ajabu sana

Pombe ina imani yake ya ajabu sana

Ewaaah warombo wanajifanya hawajui lolote..... Ila anakumaliza kimya kimya eeh hao wanaujua mzk wa mrombo kazii yeye na kazi 🤣
Sure ila mapungufu hayakosekani bwashee, cha kushangaza nyie kiboko yenu ni hao waanjo 😄
 
Ukiweka imani pombe inamaliza pesa na kweli itaisha .....

Ukiweka imani pombe inakufnya ufanye mambo ya kijinga ni kweli itafanya....

Ukiweka imani pombe inakupa akili ya kutafuta pesa na kukutanisha na watu muhimu ni kweli itafanya hivyo....


Hiyo ndio inaitwa nguvu ya kutawala akili yako kwa mfumo wa imani...

Sina maneno mengi tuwelee tu 🍻🍻🍻
Toka nimeacha pombe nimekuwa na hatua, so pombe ilikuwa inanivurugia program zangu (kuamka mapema, kupanga ratiba za kazi za siku inayofuata) mipango kutotimia na kutumia fedha bila utaratibu(poor finacial managerment)

Kama mtu unatumia pombe nakushauri pumzika six months lazima utapata mabadiliko
 
Toka nimeacha pombe nimekuwa na hatua, so pombe ilikuwa inanivurugia program zangu (kuamka mapema, kupanga ratiba za kazi za siku inayofuata) mipango kutotimia na kutumia fedha bila utaratibu(poor finacial managerment)

Kama mtu unatumia pombe nakushauri pumzika six months lazima utapata mabadiliko
Ruwa mangi kama unfanya duka ka mangi upo sahihi kabisa, kwa sisi wa viwanja lazima tukutane na watoto wa mjini kwenye viwanja vya kifahari vya pombe ,tufanye michongo ya kiume
 
Ukiweka imani pombe inamaliza pesa na kweli itaisha .....

Ukiweka imani pombe inakufnya ufanye mambo ya kijinga ni kweli itafanya....

Ukiweka imani pombe inakupa akili ya kutafuta pesa na kukutanisha na watu muhimu ni kweli itafanya hivyo....


Hiyo ndio inaitwa nguvu ya kutawala akili yako kwa mfumo wa imani...

Sina maneno mengi tuwelee tu 🍻🍻🍻
Kwanza kujiburudisha, kukutana na watu ili kupanga michoro. Kuna waliofanikiwa kwa kutumia hivi vikao vya pombe.
 
Ukiweka imani pombe inamaliza pesa na kweli itaisha .....

Ukiweka imani pombe inakufnya ufanye mambo ya kijinga ni kweli itafanya....

Ukiweka imani pombe inakupa akili ya kutafuta pesa na kukutanisha na watu muhimu ni kweli itafanya hivyo....


Hiyo ndio inaitwa nguvu ya kutawala akili yako kwa mfumo wa imani...

Sina maneno mengi tuwelee tu
SAWA MLEVI MWENYE BUSARA
 
Nakumbuka mara ya kwanza kunywa pombe 97 , zilikuwa zinaitwa power one.
Mpaka leo sijawahi acha ila sijawahi lewa maana sinywi kuzidi kiasi .

Ila soon naacha aisee!
Kwa nini uache
 
Matokeo ndugu yangu,kwa mwaka huu tu kama ningekuwa nimehifadhi hela nilizotumia kunywea pombe nisingekosa milioni 2.

Kwa hizo si njgekuwa hata na chumba kimoja nitoke huku mabondeni!
bado mwaka haujaisha mkuu, lolote linaweza kutokea
 
Matokeo ndugu yangu,kwa mwaka huu tu kama ningekuwa nimehifadhi hela nilizotumia kunywea pombe nisingekosa milioni 2.

Kwa hizo si njgekuwa hata na chumba kimoja nitoke huku mabondeni!
Bwashee inategemea unaingiza pesa ngapi binafsi , bei ya pombe zangu ni malipo ya watu wengi humu na ni ndoto zao ,hapo inategmea mtu na mtu
 
Back
Top Bottom