Kaka maasai
Member
- Jul 26, 2026
- 84
- 196
taanyu penyo pairoh engutuk lo swahiliniJambo gani?
taanyu penyo pairoh engutuk lo swahiliniJambo gani?
Kwa nini uache mkuu.Nakumbuka mara ya kwanza kunywa pombe 97 , zilikuwa zinaitwa power one.
Mpaka leo sijawahi acha ila sijawahi lewa maana sinywi kuzidi kiasi .
Ila soon naacha aisee!
Payroll haijasoma bdo ningekupa afu kumi 🤣Wanjo ni wa kirua kilema , wamarangu , na mwika
Wa vunjo wote wana wakilishwa na Watu wa mwika , hao wengine ni sifa tu😅Payroll haijasoma bdo ningekupa afu kumi 🤣
Hv umekaa rombo? Sasa wanavyo jiita sisi ni wa marangu sasa mtu wa kirua anakuwa je wa marangu,
Nilimwambia jamaa mmoja kule rombo kwetu, watu wa mwika mpk kirua tunawaita mwanjo/waanjo ananibishia msee 🤣
Unawaogopea nini?Bwashee marangu nawakalisha japo sio mmarangu nawanaogopa😅
Kwann wa mwika 😆Wa vunjo wote wana wakilishwa na Watu wa mwika , hao wengine ni sifa tu😅
Yep brother.......Nimechunguza kwa vunjo ndio mzizi wa kila kitu
Marangu kelele mingi na majivuno km wa-ha-yaYeah wavunjo wengi wenye pesa mjini wapo mwika na sio marangu , marangu zamani na mdomo tu
Hatare sana hao waanjo wako chonjo na warombo wasije lizwa 😆Hahhahaha watu wanakimbiza mwizi kimya kimya , sifa zetu rombo na kibosho ni pombe tu 😅
Ewaaah warombo wanajifanya hawajui lolote..... Ila anakumaliza kimya kimya eeh hao wanaujua mzk wa mrombo kazii yeye na kazi 🤣Na warombo wanajifanya wajinga , sema wanjo washtuka siku hizi wanawapa umuhimu sana😅