Pombe ina faida gani kwa Mlevi?

Pombe ina faida gani kwa Mlevi?

faida zake ni [1] umaskini [2] figo maini kwisha [3] na mwisho mauti,,,:hatari:,,​
 
You cant believe nimeisoma hi maada nikiwa nimelewa japo sio sana
ila bhas tu nimecheka mpk all people ndan ya bar wakaanza kunishangaa
na wenyewe wakaanza kucheka for nothing
taratibu unaanza kuelewa effect zake
hujaona matumiz kdg ya kizungu yameongezeka???
 
Mi nimekuja tayari,naanza hivi! kwa upande wangu nikinywa pombe ndio naweza kufanya maamuzi ya busara! pili nikinywa hata kijamaa changu kikinikosea i easly forgive nikiwa soba ni mziki..tatu i drink FOR A MIND HEALTHY...wenzangu karibieni muendelee!
Nb:nilisahau hata kwenye mambo fulani inanisaidiaga kunitia ndimu then nakuwa sooo live! ila sio kila pombe zingine zina hulka tofauti.
 

faida zake ni [1] umaskini [2] figo maini kwisha [3] na mwisho mauti,,,
:hatari:,,​

Usiwapeleke chaka wenzio! mbona wasiokunywa wengi maskini? halafu hawapo sharp kufanya michakato ya kimaisha. Figo na maini nakubaliana na wewe hiyo ya mwisho mauti ni mipango ya BIG G.O.D unaweza usinywe pombe ukapanda majinja na ukarest in piece!
 

Attachments

  • 1430256424414.jpg
    1430256424414.jpg
    15.6 KB · Views: 362
You cant believe nimeisoma hi maada nikiwa nimelewa japo sio sana
ila bhas tu nimecheka mpk all people ndan ya bar wakaanza kunishangaa
na wenyewe wakaanza kucheka for nothing
taratibu unaanza kuelewa effect zake
hujaona matumiz kdg ya kizungu yameongezeka???

kula like! mi mwenyewe nachangia kwa taabu napiga mixing hii
 

Attachments

  • 1430256531115.jpg
    1430256531115.jpg
    85.4 KB · Views: 349
Utafiti: 17% ya watz wanaishi kwa biashara ya POMBE

Walevi ndio wanaojenga hili Taifa! hamwoni kila mwaka wa bajet wanapandisha bei ya BIERRE na fegi tu! hawapandishi condom wala carolite na super black zenye watumiaji wengi Ke/me! sie kwa umoja wetu na uungwana wetu tunasema hata wakipandisha bia moja elfu 5000 tutapandanazo! Sema vichwa vitapata moto watu watatafuta hela kwa njia mbali mbali! Anko kova itabidi ajipange sawa sawa kama Rose Muhando!
 
Jibu rahisi,ila kabla hujajibiwa nawe jibu hili,"NGONO INA FAIDA GANI?",Ukijibu nami tarejea kuleta faida za pombe!
 

faida zake ni [1] umaskini [2] figo maini kwisha [3] na mwisho mauti,,,
:hatari:,,​
Umenena vyema mkuu, hakuna faida yoyote unayopata mnywaji pombe zaidi ya kujitia kwenye majanga kama baadhi uliyoyaorodhesha.

Kwa kuongezea tu hasara za unywaji pombe, husababisha 'kifo' cha pesa kama ambavyo alivyoimba Marehemu Mbaraka Mwinsehe.

Kukabiliwa na mahangover, ambayo husababisha utendaji wako wa kazi za kila siku kuwa duni.

Lakini kikubwa na kibaya zaidi ni kuwa kila unapotoa pesa yako na kununua kilevi, ni sawasawa na kumlipa 'entrance fee' shetani kwenye makazi yake ya kudumu kule Kuzimu.

Ushauri wa bure, kwa yeyote mlevi wa pombe ni vyema akaanza kujizoesha kuanza kutumia NON ALCOHOLIC DRINKS only, na baada ya muda mfupi sana ataona faida nyingi sana anazopata, ukicompare na wakati alipokuwa 'anagida' pombe kwa fujo!
 
you cant believe nimeisoma hi maada nikiwa nimelewa japo sio sana
ila bhas tu nimecheka mpk all people ndan ya bar wakaanza kunishangaa
na wenyewe wakaanza kucheka for nothing
taratibu unaanza kuelewa effect zake
hujaona matumiz kdg ya kizungu yameongezeka???

mkuu uliacha matumizi home?
 
Back
Top Bottom