Pombe imekuletea madhara gani maishani mwako?

Pombe imekuletea madhara gani maishani mwako?

Mkuu umenifanya nicheki sababu ilishawahili nitokea baada ya kunywa pombe nilitembea barabara nzima nataja majina ya hao wanawake ila sasa nakunywa kiasi isije nivunjia ndoa
Mkuu, utakuwa ulikunywa msema kweli.... Pombe moja hivi inapatikana iringa.
 
Pombe haifai. Kwa watumiaji ni vyema wakafanya jitihada za kupunguza na hata kuiacha kabisa.

pombe..jpg



Mkuu badili mazoea uliyokuwa nayo awali.

Utafanikiwa tu
Ebu usituharibie siku aisee[emoji16] [emoji16]
 
Dear gambe..inashuka kwa koo nw

Mengine mtajua wenyewe..carnval nw kina happen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom