mtutuwajambazi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 520
- 310
Pombe kwangu chai. Sijazimua basi nahisi siishi.
Pombe!!!
Imeninya uhuru wa kuongea (freedom of speech)
Imefanya maisha kua magumu
Imeamua kuntawala kila Mahala sasahv
Imemfukuza baba kazi bila kosa
Imenifanya nimeanza kujenga ukuta
wewe ni walombo?Nitaacha pombe ila MBEGE siachi sitaki kupoteza asili
in pouse...maake ikiisha zinarudiMimi inaniondolea stress za mjini
Tena Usseriwewe ni walombo?
Asee, mbege ya usseri sio mchezooo....ila naacha pombe.Tena Usseri
Pole sana mkuuPombe ya kisenge...acha nijilie 'natural herb' tu, kidogo imtoe uhai rafiki yang wa damu kisa madhara yake kwenye figo!!
Dadadeki.....naomba unipm contact zake....hata Kama nimeoa namhitaji anisaidie niache gambe.....litaniua hili.namshukuru binti mmoja maarufu humu bila yeye mpaka leo ningekuwa mlevi kupindukia. Alihakikisha naacha ulevi na mambo mengine lakini nasikitika kwa kumpoteza kutokana na wivu. Popote ulipo na muda wowote usomapo ujumbe huu tambua my heart still bleeding because of You
Asee hujui....ninastrugle vibaya vibaya...Pumzika kutumia tu sio mbaya
Dah anamilikiwa na MOD fulani hivi, Naogopa kupigwa BAN ya maishaDadadeki.....naomba unipm contact zake....hata Kama nimeoa namhitaji anisaidie niache gambe.....litaniua hili.
Never give upAsee hujui....ninastrugle vibaya vibaya...
Hauwzi pata kama unakunywa mbegebado sijapata