Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,165
- 85,181
Mlevi mwenyewe awe kama huyu...Kila glass utakayoimimina ichanganyie na matone kadhaa ya mkojo wa mlevi nakuapia hutockia harufu yyte.
Mlevi mwenyewe awe kama huyu...Kila glass utakayoimimina ichanganyie na matone kadhaa ya mkojo wa mlevi nakuapia hutockia harufu yyte.
Heinken
Bhwamisi na kangala
Kimpumu
Au pombe ya john,,,,,
Wewe shindilia aina yeyote ya pombe!...yameze tu, baada ya hapo kamata ndizi mbili mbivu, zilizoiva vizuri. Zibugia huku umefumba macho. Baada ya hapo hata Polisi waje Na tochi yao ya kupima ulezi hawapati kitu, zaidi ya matamate tu!
Guinness
Mkuu....Sasa unataka kuondokana na huo uteja au unataka pombe isiyo na harufu? Chagua1
We nenda kwa makonda tuu maake haina namnaHabarini wakuu?
Natumaini kama umefanikiwa kusoma ujumbe huu we ni mzima wa afya. Kama title inavyojieleza hapo juu kwanza nianze kwa kuomba ushauri mimi ni kijana wa umri wa kati nilianza kunywa pombe nikiwa na umri mdogo sana nakumbuka nilianza nikiwa form two bila shaka.
Wakati mwingine sikuweza kufanya mitihani shuleni mpaka ninywe pombe kwanza , sasa niende kwenye mambo ya msingi mawili yalio nifanya ni create hii thread kwanza nawezaje kuondokana na huu uteja pili nipombe gani naweza kunywa ambayo haiachi harufu mdomoni ambayo naweza kunywa na kuendelea na kazi zangu bila yeyote kusikia harufu hata wakati nitakapo msogelea.
Nikajua hii njia naijua pekee yanguWewe shindilia aina yeyote ya pombe!...yameze tu, baada ya hapo kamata ndizi mbili mbivu, zilizoiva vizuri. Zibugia huku umefumba macho. Baada ya hapo hata Polisi waje Na tochi yao ya kupima ulezi hawapati kitu, zaidi ya matamate tu!
Usiombe usaidiwe, maanake namna ya kufanya inategemea na uzitoAnafanyaje kuacha kwa mfano