Polls: JF Woman Of The Year 2011

Je, Ni Nani Unampigia Kura Kuwa "JF Woman Of The Year 2011"?

  • AshaDii

    Votes: 68 80.0%
  • FaizaFox

    Votes: 17 20.0%

  • Total voters
    85
  • Poll closed .
Huna lolote blah blah dot com.

Easy Mkuu, unapata pressure na mambo madogo madogooo saaaaaana. Hii ni thread sawa na thread nyingine na uko huru kuandika lolote. Hainipi tabu.

Further sina copy right wala silipwi wala sijatumwa. Kama unaweza unaweza kuanzisha lako uone jinsi ilivyo rahisi kama kucheza kiduku . . .

Get your life man na leta urguments kwenye vitu vya kimsingi. Ni mtu gani usielewa mambo madogo hata ukielezwa kwa kina?

QED
Superman-Logo.jpg
 
Easy Mkuu, unapata pressure na mambo madogo madogooo saaaaaana. Hii ni thread sawa na thread nyingine na uko huru kuandika lolote. Hainipi tabu.


Further sina copy right wala silipwi wala sijatumwa. Kama unaweza unaweza kuanzisha lako uone jinsi ilivyo rahisi kama kucheza kiduku . . .

Get your life man na leta urguments kwenye vitu vya kimsingi. Ni mtu gani usielewa mambo madogo hata ukielezwa kwa kina?

QED
Superman-Logo.jpg

Usipoteze muda wako mkuu ku explain unachofanya. Wengi tumeona kazi zako hapa JF.
Tumefurahia, tunafurahia na tutazidi kufurahi.

Ambao wako negative kuhusu shughuli zako
Acha nao. Chuki binafsi hazita wafikisha mahali ..
 
Yaani, mie nabaki na butwaa tu

Kukosoa tu, ukiambiwa sahihisha huwezi hata usahihisge vipi

Tuendelee kufurahi,
Vote FF for Real People.

Usipoteze muda wako mkuu ku explain unachofanya. Wengi tumeona kazi zako hapa JF.
Tumefurahia, tunafurahia na tutazidi kufurahi.

Ambao wako negative kuhusu shughuli zako
Acha nao. Chuki binafsi hazita wafikisha mahali ..
 
nimeshatumia haki yangu ya kikatiba ya kumchagua ninayetaka ashinde.:eyebrows:
 
She is real, uliza swali anakupa jibu la staha ya swali, haumi umi maneno, sifa ambayo wachache sana wanayo
Anatetea analoamini hata kama utamchukia, wachache sana watu wa aina hii
Anaijua siasa kwa kiwango chake

Ni mkubwa kiumri lakini bado anaweza kwenda ba flow ya vijana katika mada nyingi.

Naona anastahili kura na sapoti yetu, afu hayupo kwa hiyo hawezi haa kujikampenia.

Nawaza nani nimpe kura yangu.
Nipe sababu moja mkuu kwanini FF?
 
She is real, uliza swali anakupa jibu la staha ya swali, haumi umi maneno, sifa ambayo wachache sana wanayo
Anatetea analoamini hata kama utamchukia, wachache sana watu wa aina hii
Anaijua siasa kwa kiwango chake

Ni mkubwa kiumri lakini bado anaweza kwenda ba flow ya vijana katika mada nyingi.

Naona anastahili kura na sapoti yetu, afu hayupo kwa hiyo hawezi haa kujikampenia.

Umenipa sababu nyingi sana.
Kura yangu anayo.
 
Back
Top Bottom