Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
BAK you have my vote ..
bado kidoncho nikufate jukwaa la jokes, compaign muhimu hapa.
BAK you have my vote ..
bado kidoncho nikufate jukwaa la jokes, compaign muhimu hapa.
Mwaya vipi tena? umebadili mawazo?
Ngoja wale wa ID mia kidogo waingie ..
mtu mmoja anapiga kura Mara 50....
Ngoja numwamshe Lizzy sasa hivi atupe kura hapa ..
dah! Kama wapo naomba kura zao zote ziangukie kwa BAK. Lol.
Bak or Aspirin to win,simpendi huyo EMT...he always think other people are stupid/not his level...nenda kule jukwaa ia international uone anavyojipendekeza kwa wakenya.
Darling wat is this???????????Tayari..naona babu anaongoza kwa asilimia kubwa tu! Na kule kwako tayari familia yetu imeshakukubali!
Haya jiandae kunipa leo kabla Canta hajashtuka!!
kuna mtu aliiba pasword yangu ma dia...still namsaka!!Darling wat is this???????????
Usijali nalijua hilo,kuna wengi hawataki kutuona tunapendana lol,kuna mtu aliiba pasword yangu ma dia...still namsaka!!