Poll: ACT-Tanzania VS CHADEMA. Nani zaidi?

Poll: ACT-Tanzania VS CHADEMA. Nani zaidi?

Ulieleta maada umechemka chadema huwezi ilinganisha na ACT ni utani huo
 
Wangoni huwa hawajitambui. Ndio Maana Ngonyani anafanya mambo ya Kitoto. Halafu wanapenda sana Totoz na Pombe. kwahio inawezekana alikuwa tayari kautikwa
 
mkuu, wapo Msalani, laki si pesa, mwanadiawani, simiyu yetu na wapuuzi wengine kama hao

Ni kweli mkuu ila hao wote ugonjwa wao ni nafuu kidogo, usiombe ukaumwa ugonjwa wa yule sukule mkuu laki si pesa...!!!

Yaani hata kujuta kwa kosa ulilokosa kosa huwezi maana kwa lolote utalofanya unajihisi uko sahihi...!!! Waweza mshika Nido mkweo ukadhani ni mkeo...!!!Nakwambia laki si pesa anahali mbaya... Oooooh

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Huku ni kukoseana adabu na heshima mtoa post huna adabu huwezi kufananisha udongo na dhahabu act ni makapi na ndom za magamba
 
Back
Top Bottom