Poll: ACT-Tanzania VS CHADEMA. Nani zaidi?

Poll: ACT-Tanzania VS CHADEMA. Nani zaidi?

Kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wapya wa ACThapa JF wanaotoa hoja zenye mwelekeo wa kuwa huenda wao ni wanachama huku wale wanazi wa CHADEMA wakionekana kukerwa na wana ACT kuliko hata Mwana CCM.

Leo tunamaliza upinzani, ni nani wana wapenzi na wanachama wengi ktk mitandao ya kijamii hususani hapa JF?

Na hapa leo ni kati ya ACT-wazalendo VS CHADEMA.

Matokeo ya jumla nitajumlisha kesho, tar. 31/03/2015 saa 3 usiku na nitaweka update ya majibu hapa.

Hii ni Moja kati ya thread za Kipuuzi kuwahi kuletwa JF
 
sio tu huna adabu bali pia huna kitu kingine kinakaa kichwani, acha mpango wa mungu uwe mpango wa mungu na hakuna mbadala kama UKAWA
 
Mm nilifkri unataka kulinganisha ACT na TLP, ndo kidogo utakuwa fair maana vyote vya wasaliti.
 
Unataka watu walinganishe nini? Ok acha tufanye hivi. Zitto mkuu wa ACT. Mbowe Mwenyekiti wa CDM, Mbunge wa Hai, Mkuu wa Upinzani na mwenye wabunge wengi wa upinzani bungeni.
Endelea Mwigamba Katibu na aliyekuwa mhasibu wa CDM akatimliwa, mwandishi uchwarwa, mmoja wa viongozi wa uhani. Baada ya hapo najaribu kulinganishi sioni zaidi. nani kama Tundu Lissu, nani kama Msigwa, nani kama Mnyika, tulinganishe Lema na nani katika ACT, chukua wabunge wa Chadema tulinganishe na wabunge gani wa ACT?
Upuuzi mtupu
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wapya wa ACThapa JF wanaotoa hoja zenye mwelekeo wa kuwa huenda wao ni wanachama huku wale wanazi wa CHADEMA wakionekana kukerwa na wana ACT kuliko hata Mwana CCM.

Leo tunamaliza upinzani, ni nani wana wapenzi na wanachama wengi ktk mitandao ya kijamii hususani hapa JF?

Na hapa leo ni kati ya ACT-wazalendo VS CHADEMA.

Matokeo ya jumla nitajumlisha kesho, tar. 31/03/2015 saa 3 usiku na nitaweka update ya majibu hapa.
 
Lakini ni upuzi kulinganisha mtoto asiye na meno na kaka mkubwa...hivi mtoa mada unadiriki kweli kujaribu kitu cha namna hiyo? Hauoni ya kuwa ZZK ndiye pekee anayesimamisha ACT? Au unadhani umaarufu wa mtu unaweza kuizidi taasisi anayoongoza? Ungesubiri kwa muda ACT nayo walau iweke mizizi yake ardhini kabla ya kuja na jambo la namna hii. Unaweza ukapata washabiki kwa sababu ya upenzi wa mtu lakini ukakosa uhalisia sababu uhalisia haujengwi siku moja...wacha mtoto akue kidogo usimwingize vitani. Ni ushauri tu.

Mimi si mpenzi wa CCM wala ACT wala CDM...Ni mzalendo anayependa balanced thinking

Teh teh teh teh... Mkuu umenifurahisha sana na jibu lako. Kwamba wewe ni MZALENDO...Kwa hiyo wewe ni ACT dam dam....
 
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wapya wa ACThapa JF wanaotoa hoja zenye mwelekeo wa kuwa huenda wao ni wanachama huku wale wanazi wa CHADEMA wakionekana kukerwa na wana ACT kuliko hata Mwana CCM.

Leo tunamaliza upinzani, ni nani wana wapenzi na wanachama wengi ktk mitandao ya kijamii hususani hapa JF?

Na hapa leo ni kati ya ACT-wazalendo VS CHADEMA.

Matokeo ya jumla nitajumlisha kesho, tar. 31/03/2015 saa 3 usiku na nitaweka update ya majibu hapa.

Mara kadhaa nimekuwa nikiwaza wakati wa kujiunga JF tulipaswa ku-upload vyeti vetu vya kuzaliwa (Ili moderators wajue umri Kabla ya ku-register new members) Lakini sasa naona kama wazo hilo haliwezi ku-controll pumba za baadhi ya wachangiaji unless Kama tuta submit vyeti vya shule na uthibitisho wa daktari.

Mkuu Shukrani A. Ngonyani naomba kujua kama hiyo picha (kwenye avata) ni yako ili nisijiulize tena swali la umri.

CHADEMA vs ACT?????? kipi kina wapenzi wengi?.. Kweli????!!!!! Kama mawazo ya Great thinkers ndio haya kwa ridhaa yangu naiomba lifetime ban please! Tunaidhalilisha JF!
 
Naomba mimi nikujibu kiungwana tu!!!!!!
Kwa hizo reply chache tu, hebu mtoa mada toa sasa matokeo kabla ya hiyo kesho ndo utapata picha!!!!!

bwana mutabilwa punguza haraka. Tungoje hyo kesho ili pande zote zitendewe haki.
 
Last edited by a moderator:
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wapya wa ACThapa JF wanaotoa hoja zenye mwelekeo wa kuwa huenda wao ni wanachama huku wale wanazi wa CHADEMA wakionekana kukerwa na wana ACT kuliko hata Mwana CCM.

Leo tunamaliza upinzani, ni nani wana wapenzi na wanachama wengi ktk mitandao ya kijamii hususani hapa JF?

Na hapa leo ni kati ya ACT-wazalendo VS CHADEMA.

Matokeo ya jumla nitajumlisha kesho, tar. 31/03/2015 saa 3 usiku na nitaweka update ya majibu hapa.
wewe sema cdm vs act+CCM kwa sababu wote Hao wanapambana na CHADEMA.
 
Wewe mwenyewe umetenda haki kulinganisha hivyo vyama? Sasa kama ukutenda haki kulinganisha unasubili watu watende haki gani? Unadiliki kuita poll, unajua poll unajua maana ya poll? Poll ni kama uchaguzi au kwa lugha raisi ni kupiga kura, ulishawahi kuona kura inalala? Saa 12 imefika kura zimepigwa toa majibu nyambafuuu!

bwana mutabilwa punguza haraka. Tungoje hyo kesho ili pande zote zitendewe haki.
 
Mpaka kesho saa 3 usiku mwl kanjanja Kaijage atakuwa amefungua ID mpya 30 kutafuta ushindi!
 
Hebu Mods watoe huu uchafu hapa maana Jukwaa linadharaulika kwa ujinga kama huu.

Unaweza kweli kulinganisha Tawi la CCM na Chadema?

This is a Big Joke!
 
Wanywa viroba sasa wamehamishia mapambano act ccm inapumumua vita ya panzi
 
Back
Top Bottom