Poll: ACT-Tanzania VS CHADEMA. Nani zaidi?

Poll: ACT-Tanzania VS CHADEMA. Nani zaidi?

Hii thread ni takataka SUNGURA hawezi kumbeba TEMBO yani ulinganishe hiki kijiwe cha wasaliti na CDM?
 
kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wapya wa acthapa jf wanaotoa hoja zenye mwelekeo wa kuwa huenda wao ni wanachama huku wale wanazi wa chadema wakionekana kukerwa na wana act kuliko hata mwana ccm.

leo tunamaliza upinzani, ni nani wana wapenzi na wanachama wengi ktk mitandao ya kijamii hususani hapa jf?

na hapa leo ni kati ya act-wazalendo vs chadema.

matokeo ya jumla nitajumlisha kesho, tar. 31/03/2015 saa 3 usiku na nitaweka update ya majibu hapa.
act=ccj
 
Tafuta uzi wa Edward Lowassa vs Dr Slaa ili upate picha.
Uangalie box zilifunguliwa lini na matokeo.
Kwa sasa ni makosa makubwa kulinganisha vyama,bali alliancies.
Kundi la mafisadi na vibaraka wake i.e ccm,act,adc,tlp,udp etc VS kundi la UKAWA i.e chadema,cuf,nccr and nld.
NB.Nimejitahidi sana kukujibu.
 
Nyie endeleeni tu na NANI MTANI JEMBE!

Mwisho wa siku,October hii hapa majimbo hayafiki hata hamsini upinzani.
 
ACT ni chama cha wazalendo chadema ni saccoss ya MTEI utajua tu act ni babalaoooo
 
Mpaka sasa MATOKEO ni ACT=KURA 4 CHADEMA=0 kwa matokeo haya ACT ndio washindi,CHADEMA wanapumulia mashine
 
Act chama cha wauza majimbo,ndo ulinganishe na CDM?
 
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wapya wa ACThapa JF wanaotoa hoja zenye mwelekeo wa kuwa huenda wao ni wanachama huku wale wanazi wa CHADEMA wakionekana kukerwa na wana ACT kuliko hata Mwana CCM.

Leo tunamaliza upinzani, ni nani wana wapenzi na wanachama wengi ktk mitandao ya kijamii hususani hapa JF?

Na hapa leo ni kati ya ACT-wazalendo VS CHADEMA.

Matokeo ya jumla nitajumlisha kesho, tar. 31/03/2015 saa 3 usiku na nitaweka update ya majibu hapa.

mi nadhani hamna jambo la maana kwa chama chochote cha siasa kutambia chama kingine hasa katika jamii yetu masikini ambao wanahitaji utetezi wa hali ya juu dhidi ya madhila na dhuluma wanayopata. chama cha maana ni kile kitakachoweza kuwakwamua wananchi. mpakasasa CHADEMA na ACT-WAZALENDO, wanachozidiana ni umri wa usajili tu. mwenye kufikiri vema hashindanishi vyama kama ligi ya mpira. tufikiri zaidi kuliko kuendeshwa na mihemuko.
 
Akili zilizojichokea hizi...!!!!!

Hivi wewe na akili zako chovu umewaza nini mpaka kuja na thread hii?? Angalia vizuri naona ugonjwa wa laki si pesa unajunyemelea kwa kasi

BTW Hebu nitajie wanachama kumi tu wa ACT hapa jamvini.

BACK TANGANYIKA
 
Eti huyu Mpuuzi naye anaeneza na kujenga chama cha wasaliti! pole yake. mashabiki wa act ndio hao hao maccm
 
Akili zilizojichokea hizi...!!!!!

Hivi wewe na akili zako chovu umewaza nini mpaka kuja na thread hii?? Angalia vizuri naona ugonjwa wa laki si pesa unajunyemelea kwa kasi

BTW Hebu nitajie wanachama kumi tu wa ACT hapa jamvini.

BACK TANGANYIKA

mkuu, wapo Msalani, laki si pesa, mwanadiawani, simiyu yetu na wapuuzi wengine kama hao
 
ACT-WAZALENDO ni kibajaji chenye kasi zaid ya train,ni chama kinachokua kwa kasi ya ajabu zaid, ACT-WAZALENDO
 
Kweli umekurupuka! Mi ACT lakini kwa sasa huwezi kutulinganisha na CDM ambao wana miaka zaidi ya 20 uwanjani. Sisi bado tuna njia ndefu ya kupita na huenda tukafia njiani. Subiri tufikishe japo miaka mitano ndo ulete hii thread.
 
Back
Top Bottom