Poll: ACT-Tanzania VS CHADEMA. Nani zaidi?

Poll: ACT-Tanzania VS CHADEMA. Nani zaidi?

The act best
Na cdm iko siku hizo kauli zenu mtajutia nyie Mungu awaalani
 
Stupidity.... Takataka... Hivi vinatumika sehemu gani?
 
Jibu lolote utakalolitoa iwe kesho au leo bado halitaondoa DHARAU uliyoionesha kwa wachangiaji!

Na hata kama matokeo yako yatasema CDM ina wafuasi wengi bado haitaondoa DHARAU uliyoonesha!

Ni sawa na ku-kuuliza wewe Shukrani A. Ngonyani "Kati yako na Mzee Ngonyani nani mkubwa ki umri?" Hilo ni tusi kwako utakayejibu Shukrani A. Ngonyani!!! Na pia ni tusi kwa Mzee Ngonyani. Ndio maana nakwambia umetutukana wachangiaji JF! Kuna matusi yaliyo katika mfumo wa swali!

Umenikwaza sana ndugu Shukurani!
 
CHADEMA imeshazeeka sasa haina mvuto kulingana na matendo yao,kitu ACT

mtajijibu wenyewe wasaliti! kwa kifupi,ACT ni sawa na timu ya mpira wa miguu ya STAND UNITED ya Shinyanga alafu unailingasha na FC BARCELONA ya HISPANIA! bila shaka mleta mada AMEVURUGWA!
 
Upuuzi uliokubuhu wakati CHADEMA wakijenga chama mitaani akina kaila wanajenga mitandaoni wanapotoka sana!
 
mtajijibu wenyewe wasaliti! kwa kifupi,ACT ni sawa na timu ya mpira wa miguu ya STAND UNITED ya Shinyanga alafu unailingasha na FC BARCELONA ya HISPANIA! bila shaka mleta mada AMEVURUGWA!

mwambie huyo mwendawazimu
 
Lakini ni upuzi kulinganisha mtoto asiye na meno na kaka mkubwa...hivi mtoa mada unadiriki kweli kujaribu kitu cha namna hiyo? Hauoni ya kuwa ZZK ndiye pekee anayesimamisha ACT? Au unadhani umaarufu wa mtu unaweza kuizidi taasisi anayoongoza? Ungesubiri kwa muda ACT nayo walau iweke mizizi yake ardhini kabla ya kuja na jambo la namna hii. Unaweza ukapata washabiki kwa sababu ya upenzi wa mtu lakini ukakosa uhalisia sababu uhalisia haujengwi siku moja...wacha mtoto akue kidogo usimwingize vitani. Ni ushauri tu.

Mimi si mpenzi wa CCM wala ACT wala CDM...Ni mzalendo anayependa balanced thinking

mkuu wazalendo wako ACT kama na wewe ni mzalendo basi na wewe ni ACT.
 
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wapya wa ACThapa JF wanaotoa hoja zenye mwelekeo wa kuwa huenda wao ni wanachama huku wale wanazi wa CHADEMA wakionekana kukerwa na wana ACT kuliko hata Mwana CCM.

Leo tunamaliza upinzani, ni nani wana wapenzi na wanachama wengi ktk mitandao ya kijamii hususani hapa JF?

Na hapa leo ni kati ya ACT-wazalendo VS CHADEMA.

Matokeo ya jumla nitajumlisha kesho, tar. 31/03/2015 saa 3 usiku na nitaweka update ya majibu hapa.

ACT ilianzishwa ije ilinganishwe na CDM eeeh..., mmejambia kopo hivyo hamna budi kunusa
 
Kama co mchaga bas uwe mnafik ndo utadumu chadema!
 
Mleta mada hata mume wenu mzito atakucheka. Una compare kati ya Mayweather au Paquiao ( naogopa ushabiki) na Kaseba?
 
Back
Top Bottom