Poll: ACT-Tanzania VS CHADEMA. Nani zaidi?

Poll: ACT-Tanzania VS CHADEMA. Nani zaidi?

Shukrani A. Ngonyani

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2014
Posts
1,182
Reaction score
2,021
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wapya wa ACThapa JF wanaotoa hoja zenye mwelekeo wa kuwa huenda wao ni wanachama huku wale wanazi wa CHADEMA wakionekana kukerwa na wana ACT kuliko hata Mwana CCM.

Leo tunamaliza upinzani, ni nani wana wapenzi na wanachama wengi ktk mitandao ya kijamii hususani hapa JF?

Na hapa leo ni kati ya ACT-wazalendo VS CHADEMA.

Matokeo ya jumla nitajumlisha kesho, tar. 31/03/2015 saa 3 usiku na nitaweka update ya majibu hapa.
 
Huu ni wehu!. Utapiganishaje CHADEMA na ACT? Umetumwa ama unaumwa?

Mods, toeni huu wendawazimu hapa unajaza kurasa bila sababu.
 
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wapya wa ACThapa JF wanaotoa hoja zenye mwelekeo wa kuwa huenda wao ni wanachama huku wale wanazi wa CHADEMA wakionekana kukerwa na wana ACT kuliko hata Mwana CCM.

Leo tunamaliza upinzani, ni nani wana wapenzi na wanachama wengi ktk mitandao ya kijamii hususani hapa JF?

Na hapa leo ni kati ya ACT-wazalendo VS CHADEMA.

Matokeo ya jumla nitajumlisha kesho, tar. 31/03/2015 saa 3 usiku na nitaweka update ya majibu hapa.
Hahaha unailinganisha Tanzania na Marekani... Huu ni upofu wa akili.
 
kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wapya wa acthapa jf wanaotoa hoja zenye mwelekeo wa kuwa huenda wao ni wanachama huku wale wanazi wa chadema wakionekana kukerwa na wana act kuliko hata mwana ccm.

leo tunamaliza upinzani, ni nani wana wapenzi na wanachama wengi ktk mitandao ya kijamii hususani hapa jf?

na hapa leo ni kati ya act-wazalendo vs chadema.

matokeo ya jumla nitajumlisha kesho, tar. 31/03/2015 saa 3 usiku na nitaweka update ya majibu hapa.

nilidhani mngekuwa mnapigana na ccm kumbe mnauwana wenyewe kwa wenyewe,ha ha ha ha poleni
 
Umekosa adabu wewe, huwezi kulinganisha takataka na CDM. Labda kama ulikuwa na mpango wa kulinganisha hizo takataka na ADC tungekuelewa.
 
Lakini ni upuzi kulinganisha mtoto asiye na meno na kaka mkubwa...hivi mtoa mada unadiriki kweli kujaribu kitu cha namna hiyo? Hauoni ya kuwa ZZK ndiye pekee anayesimamisha ACT? Au unadhani umaarufu wa mtu unaweza kuizidi taasisi anayoongoza? Ungesubiri kwa muda ACT nayo walau iweke mizizi yake ardhini kabla ya kuja na jambo la namna hii. Unaweza ukapata washabiki kwa sababu ya upenzi wa mtu lakini ukakosa uhalisia sababu uhalisia haujengwi siku moja...wacha mtoto akue kidogo usimwingize vitani. Ni ushauri tu.

Mimi si mpenzi wa CCM wala ACT wala CDM...Ni mzalendo anayependa balanced thinking
 
Ni sawa na kulinganisha mlima Kilimanjaro na kichuguu. Msipoteze muda wa watu tafadhali.
 
Naomba mimi nikujibu kiungwana tu!!!!!!
Kwa hizo reply chache tu, hebu mtoa mada toa sasa matokeo kabla ya hiyo kesho ndo utapata picha!!!!!
 
Huu ni upumbavu at it's best, yani ni upuuzi katika viwango vingine. We utashindanishaje chama cha kifalme chenye wasaliti na CHADEMA?
 
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wapya wa ACThapa JF wanaotoa hoja zenye mwelekeo wa kuwa huenda wao ni wanachama huku wale wanazi wa CHADEMA wakionekana kukerwa na wana ACT kuliko hata Mwana CCM.

Leo tunamaliza upinzani, ni nani wana wapenzi na wanachama wengi ktk mitandao ya kijamii hususani hapa JF?

Na hapa leo ni kati ya ACT-wazalendo VS CHADEMA.

Matokeo ya jumla nitajumlisha kesho, tar. 31/03/2015 saa 3 usiku na nitaweka update ya majibu hapa.

Mutani Ngonyani! Mbali na kuwa mutani tafadhari jaribu kujikimu ktk vitu vyenye kuleta tija kwa wana JF. Wewe jiulize nani ana muda wa kuanza kulinganisha CDM na ACT? Saa hizi watu wanatafuta mbinu nzuri za kulimega Bunge lijalo ili uinzani uwe na aslimia kubwa na si vinginevyo! Umeniangusha mutani!
 
mkuu ungefuta hiyo posti wala isikusumbue mwl kaijage anaid zaidi ya mbil kwaihiyo isukusumbue

kwa kyulinganisha act na chadma that is wrong

ACT= CCM not equat to CHADEMA
 
Last edited by a moderator:
Huna adabu kabisa! Umepata wapi jeuri ya kupambanisha train na kibajaji? Nani kakutuma? Mod plz toeni huu uchafu hapa
 
CHADEMA imeshazeeka sasa haina mvuto kulingana na matendo yao,kitu ACT
 
Back
Top Bottom