Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
kwani angehudhuria kungetokea uvunjifu wa amani??
Anatumikia tumbo lake mwenyeweHivi kweli huu ni ugomvi wa kumtumikia Mungu au kujitumikia?
Karibu bibi, hongera kwa mapumziko ya lazima! Nimefurahi kukuona tena. Ila usirudie makosa tena.= anatugharimu
Karibu bibi, hongera kwa mapumziko ya lazima! Nimefurahi kukuona tena. Ila usirudie makosa tena.
kwani angehudhuria kungetokea uvunjifu wa amani??
Kumruhusu kuhudhuria ni kama kumtambua kuwa bado ni kiongozi. Labda angekwenda pale kama muumini wa kawaida na kukaa back bench
Angehudhuria kama muumini wa kawaida asingezuiwa, ila kama askofu hapana maana amevuliwa uaskofu ila ana ung'ang'ania.kwani angehudhuria kungetokea uvunjifu wa amani??
Angehudhuria kama muumini wa kawaida asingezuiwa, ila kama askofu hapana maana amevuliwa uaskofu ila ana ung'ang'ania.
Mavazi yake aliyovaa si ya muumini bali alivaa kama askofu.ni nani aliyewaambia kuwa atahudhuria kama askofu?
Hiki kanisa =Hili kanisaHiki kanisa si ndiyo lile mkubwa wao huko USA aliolewa na mwanamme mwenzake?
Huo ugomvi ni kwa ajili ya maslahi(pesa),kwa nini ang'ang'anie kuwatumikia watu wasiomuhitaji?Hivi kweli huu ni ugomvi wa kumtumikia Mungu au kujitumikia?
HV BK KUNA ANGLIKANA?Polisi mkoani kagera wamemzuia askofu Mokiwa aliyetumbuliwa na Askofu mkuu wa anglican kuhudhuria sherehe za kumsimika askofu wa dayosisi moja ya mkoani humo.Source Mwananchi
Tumbua TumbuaPolisi mkoani kagera wamemzuia askofu Mokiwa aliyetumbuliwa na Askofu mkuu wa anglican kuhudhuria sherehe za kumsimika askofu wa dayosisi moja ya mkoani humo.Source Mwananchi
Yupo wapi siku hizi mokiwaTumbua Tumbua
Hawa Watu Wa Dini Wana Connection Na Huko Kwa MabeberuYupo wapi siku hizi mokiwa
Dini zipiHawa Watu Wa Dini Wana Connection Na Huko Kwa Mabeberu