Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Nimefedheheshwa na kitendo cha kiongozi wa juu wa jeshi la polisi kutangaza nia zao za ubunge kwa tiketi ya CCM.
Tibaigana, na jana nikachoka kusikia kamanda wa trafiki Kombe.
Hivi hawa walijiunga na chama lini au walikuwa na rangi ya kijani mfukoni? Muda waliostaafu awajapata uzoefu wa siasa hizo.
source: Kamanda Kombe kuwania ubunge Vunjo
Rule no 1 kama wewe ni mfanyakazi wa serikali na unaingia kwenye chama jiengue kwanza serikalini na ndio uje kwenye chama.
Sasa nataka kuuliza kombe still ni police na kama ndio aachane na upolice kwanza na ndio ajiunge CCM,
Na kama alisha staaafu upolice ni lini alijiunga CCM?
kwani inastahajabisha sana mapema tu anatangaza nia na ni majuzi tuu alikuwa kamanda wa Trafiki nadhani kama sijakosea iweje leo wananchi wa eneo husika ati wamekuomba ugombeee?
Kwa Tibaigana naweza kidooogo nae nika muhoji Uzoefu wake kwenye siasa ni wa muda gani? na ni lini nae alikuwa/kajiunga kwa chama "CCM"? maana nimekuwa na watoto wake na wameoa nao, nasija wahi mwona Tiba kwenye Siasa Tokea naanza mfaahamu huko msoma, Singinda, Tanga, Dodoma na hapa Dar?