Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 6,750
- 14,524
Yashakuwa hayo tena
No reform no electionLema ka tweet hapa
Hehehe wanazidi kuthibitishaTukiwaambia CCM bila mapolisi ni wepesi kama karatasi muwe mnatuelewa
Ccm haitaki wananchi waambiwe madhaifu yao.Mh LISSU amemaliza kuhutubia mkutano wa hadhara wa mbinga Leo ,akasema ashuke akachangiwe Hela na wananchi ,wakati anashuka akakutana na OCD pale jukwaani akaambiwa anahitajika ofisi ya OCD Sasa hivi,Mh LISSU akarudi jukwaani akasema yameanza,basi akasema sitokwenda kwa OCD nimechoka sanaaaaa,Sasa ameshuka umma unamfuata na mapolisi pia Yapo ,mitambo imekata hatujui huenda wakatumia nguvu kumkamata hapo Mbinga maana katoa hotuba nzito sanaaaaa.
Polisi sasa wamepiga mabomu na wanataka kumkamata Lissu.
Hakika.......soon or laterIt's too late. Time hii lazime nchi ifike kaanan!
Hiyo haiwezekani......Lissu ni Mpakwa mafuta wa BwanaKwa nini wasimuache aongee baadaye achoke?Halafu sie CCM tuendelee kupiga kazi!.
Ndo utaratibu wa jeshi lenu la police hapo Tanzania?Sababu za kumkamata ataelezwa kituo cha polisi
Sheria ifate mkondo wake.Sitoshangaa kama sababu ni kuendelea na mkutano baada ya kupita saa 12 joini.
Piga kabisa.Atie akili.Mh LISSU amemaliza kuhutubia mkutano wa hadhara wa mbinga Leo ,akasema ashuke akachangiwe Hela na wananchi ,wakati anashuka akakutana na OCD pale jukwaani akaambiwa anahitajika ofisi ya OCD Sasa hivi,Mh LISSU akarudi jukwaani akasema yameanza,basi akasema sitokwenda kwa OCD nimechoka sanaaaaa,Sasa ameshuka umma unamfuata na mapolisi pia Yapo ,mitambo imekata hatujui huenda wakatumia nguvu kumkamata hapo Mbinga maana katoa hotuba nzito sanaaaaa.
Polisi sasa wamepiga mabomu na wanataka kumkamata Lissu.
Sheria hazisemi hivyo. Huwezi kumkamata mtu bila kumwambia kosa lake. Hizo ndio sheria za nchi yetu.Kukamatwa mtu sio kitu public yeye atakuwa anajua alichokamatiwa
Wewe subiri taarifa za Polisi
Bila ya hivyo ccm hamna uwezo wa kushindana naye.Sababu za kumkamata ataelezwa kituo cha polisi
Yeye Lisu aliiyekamatwa ndie anajua kakamatiwa nini ulitaka polisi wakueleze wewe kama nani sababu ya kumkamata?Sheria hazisemi hivyo. Huwezi kumkamata mtu bila kumwambia kosa lake. Hizo ndio sheria za nchi yetu.
Unless mmeamua kuongoza nchi Kama vibaka, Vinginevyo sheria zifuatwe.
Kabla ya kukamatwa sheria inasema mpaka uende police? Hizo ndio hoja zenuKukamatwa mtu sio kitu public yeye atakuwa anajua alichokamatiwa
Wewe subiri taarifa za Polisi
Mandela alikaa miaka ishiriniTAL sasa ameanza kuonja utamu wa kuwa mwenyekiti wa chadema Taifa
Mwenzake alikaa jela miezi 8, sio kazi ndogo.
CCM ni serikali na serikali ni CCM!