PreGE2025 Polisi wapiga mabomu mkutano wa Lissu huko Mbinga

PreGE2025 Polisi wapiga mabomu mkutano wa Lissu huko Mbinga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Maneno tu wanayaogopa, ndio wataweza kuacha uchaguzi huru na haki?
 
Labda watamwachia huru kesho asubuhi.
Ndivyo alivyosema Wakili Madeleka.
So let us be more cheerful,more optimistic.
Let us try to get some sleep.
Enough excitement for one day.
 
hapo juzi Tundu lissu
1744278886565.jpg
katoka kusema kuwa nyie askar mnalipwa pesa ndogo mnafanya kazi kubwa na mkistaafu mnakuwa watumwa wa vikokoto yamekuwa manyumbu badala ya kushukuru wamepata mtu wakuwasemea leo hayo yametoka tena kwenda mkamata mtu anae wasemea wao
 
hapo juzi Tundu lissuView attachment 3298981 katoka kusema kuwa nyie askar mnalipwa pesa ndogo mnafanya kazi kubwa na mkistaafu mnakuwa watumwa wa vikokoto yamekuwa manyumbu badala ya kushukuru wamepata mtu wakuwasemea leo hayo yametoka tena kwenda mkamata mtu anae wasemea wao
Acha wamwonyeshe ukubwa wa kazi yao.
 
Mbona haukwenda kusaidia wasiondoke nae?
 
Kujitambua kwa polisi ni pamoja kutii serikali iliyopo madarakani.Wakifanya tofauti na utii huo ni Uasi.Sasa sidhani kama kuna serikali isiyotaka vyombo vya dola viiitii.Kwahiyo ni jukumuu la anayekamatwa kuanza kutii yeye kwanza kabla nguvu hazijatumika dhidi yake.Dunia nzima iko hivyo.
 
Back
Top Bottom