Yeye ndie ajua alichokamatiwa hata wewe mfano ukikamatwa polisi hawawajibiki kuwa lazima watangazie umma umekamatiwa nini? Mtajuana na polisi hukoKabla ya kukamatwa sheria inasema mpaka uende police? Hizo ndio hoja zenu
Kukamatwa mtu sio tangazo la biashara cha msingi yeye mwenyewe binafsi ajue kakamatiwa nini apambane mwenyewe huko polisi