Polisi wamwachie Lulu mara moja................

assume Katiba mpya inarekebisha kifungu hicho cha sheria; Mtuhumiwa kama Lulu akaachiwa iwe kwa dhamana au kwa kutokuwa na hatia, huoni kama maisha ya mtuhumiwa yanaweza kuwa hatarini kutokana na hasira na uchungu walio nao mashabiki, wapenzi, wakereketwa, marafiki, jamaa na ndugu wa marehemu?

Hatujui aliyoyabeba Lulu, vipi akaishia kujiua atapoachiwa huru wakti huu kwa sababu yeyote ile iwayo?

Polisi wana haki ya kulinda maisha ya mtuhumu (kama yungali hai) na mtuhumiwa (kama yungali hai).
Freema, hakuna binadamu anaetaka kunyea debe polisi eti anatunzwa against hasira ya "mashabiki wa jamaa" wa marehemu. Kwa hiyo akishinda kesi hasira za hawa "wapenzi na marafiki" zitazidi, then what you gonna do, detain her forever? That is the most ridiculous thing in the history of mankind. Ask her if she wants to stay in custody, don't decide for her.
 
yaani inasikitisha, the chap lived double life kwanza mimi siamini hata kama umri wake ulikuwa miaka 28. Ninaamini lulu will be free. the chap might have died of alcohol overdose or even drugs.

kitendo cha polisi kuita hii ni "homcide" au mauaji kulitia dosari jweshi la polisi....................ushahidi waonyesha this is natural death tu wala hata siyo manslaughter........
 
We uliyeyoa mada nafikiri unakataka kale kauaji huna jipya na leo kuna mvua kamtafute mkeo utulie au kama vipi kwnn wewe ucwe polisi mpaka unataka kujfnya unajua sheria polisi kama refa akisema goli basi ujue goli kama vipi kavae gwanda wewe
 
Freema, hakuna binadamu anaetaka kunyea debe polisi eti anatunzwa against hasira ya "mashabiki wa jamaa" wa marehemu. Kwa hiyo akishinda kesi hasira za hawa "wapenzi na marafiki" zitazidi, then what you gonna do, detain her forever? That is the most ridiculous thing in the history of mankind. Ask her if she wants to stay in custody, don't decide for her.

dont decide for the police, please. wnafanya kazi yao kwa mujibu wa sheria wala sio kwa mujibu wa Lulu, Freema au Taso.
 
Waacheni Polisi wafanye kazi yao,
Pamoja na ugumu wa maisha waliokuwa nao lakini wana ujuzi na uzoefu wa masuala haya,
Kwani kifo cha Kanumba sio kifo cha kwanza kupelelezwa na Jeshi letu la Polisi,
Weledi wao ndio utakaowaongoza kufikia hatua ya kujua nani na nini ni chanzo cha kifo cha Kanumba!
 
Ruta... jiulize swali waki muachia nani ataisaidia polisi in case she commit suicide? she was the last person to be seen with the deceased thats were investigation commences.

Hata hivyo Lulu bado ni Mtuhumiwa tu mpaka itakavyo amriwa vinginevyo kama kutakuwa na trial. Na kwa mfumo wetu at the moment the charge has to read murder kama atafikishwa Mahakamani until when there is a plea bargain na mwisho akikutwa na hatia iwe Murder or Manslaughter ndio tutabadili jina kutoka Kutuhumiwa kuwa ... it depends na offence charged by then.

Wengi tu wamekamatwa kwa makosa kama hayo especially kwenye vileo na kadhalika na wengine wanaishia kuwa huru kulingana na ushahidi kwa hiyo kama kweli akutenda aendelee kumuomba Mungu wake awezi kumtupa katika ukweli. nawasilisha
 
hivi mkuu unaonge kwa kufuata sheria ama unaongea kwa matakwa yako binafsi?

Nadhani unaelewa kuwa tanzania nzima inaelewa kuwa lulu ndie aliyekuwa na marehemu hadi dakika za mwisho hilo halina ubishi,hata kama lulu hausiki na kifo hicho ni lazima awekwe ndani hii ni kwa ajiri ya usalama wa lulu mwenyewe

kwani kanumba alikuwa na washabiki wengi na ana ndugu ambao wameondokewa na mpendwa wao,kwa hiyo kama itatokea polisi wakamwachia lulu na akashambuliwa na kupoteza maisha yake watu wa kwanza wa kulaumiwa ni polisi,kwa hiyo polisi wanafanya kazi zao kwa kufuata sheria,taratibu na kanuni

la sivyo wewe kama wewe uwe mlinzi wa lulu chochote kitakachotokea juu yake wewe ndie utakae husika

kukamatwa kwa lulu ni kwa usalama wake,ingawaje mashitaka pia yatakuja baada ya uchunguzi

big-up kaka wengine akili zao ni matope, nawashangaa hata waandishi wa habari wanaolalamika lulu kufichwa wakati akipelekwa mahakamani. Kanumba amezikwa na kuliliwa na watu zaidi ya milioni mbili leo mtuhumiwa wa mauaji achwe nje nje wapo watu wana hasira naye kiasi cha kutamani wamtoe roho popote watakapomuona.Ni jukumu la polisi kuhakikisha hatupotezi watu wawili katika tukio moja. Hongera sana kaka kwa kutoa somo kwa huyu ndugu asiyejua kwa upana mambo yanayojili kwenye jamii anayoishi.
 
Back
Top Bottom