Polisi wafanya uvamizi Nyumbani kwa Lema Usiku...

Status
Not open for further replies.
Tayari tumeshafanya mawasiliano na makamanda wetu,wanaelekea kwa kasi kutoka maeneo mbalimbali ya mji kwenda nyumbani kwa Kamanda Lema,kama noma na iwe noma

Kamanda Nanyaro,

Bravo,natamani niwe Arusha.Leo.Tulianzishe na kutoa Fundisho.Hatuwezi kuvumilia upuuzi huu kwa maslahi ya watawala.Naamini leo.kitaeleweka.Leo ni lazima waijue jeuri ya vijana wa Arusha katika kukata kiu ya haki
 
Tuko pamoja Godbless Lema, Mungu akulinde na kukpa maisha marefu, i can see the government planting the seed of hatred towards itself.
 
Mungi na wanajamvi achaneni na mbeba mabox anatuhamisha kwenye mada muacheni aandike na ajijibu mwenyewe
 
Ukisoma sheria ya kanuni za mwenendo wa makosa ya jinai inasema hivi;

Kwa kawaida upekuzi unapaswa kufanywa siku yeyote isipokuwa siku ya
Jumapili, na unaweza kufanyika masaa yeyote kuanzia jua linapochomoza
na kabla ya jua kuzama.

Hata hivyo polisi wanaweza kuomba kibali kutoka mahakamani
cha kufanyaupekuzi muda wowote.
Tupe kibali kutoka mahakamani cha kwenda kupekua nyumban kwa Lema na kesi ilifunguliwa lini..
 
Polisi wana ruhusa ya kuingia kwenye nyumba yoyote na kufanya upekuzi.
Ni jukumu la jeshi la polisi kupekua nyumba yoyote ambayo wanatilia mashaka kuwa kuna kitu amabacho kinaweza kuleta madhara kwa jamii au kutumika kama ushahidi mahakamani. POLISI HUFANYA KAZI MASAA 24.
Sidhani kama polisi ni wajinga waanze tu kuvamia nyumba za watu bila kuwa na kibali au sababu maalum.
If you were twice as smart, you'd still be stupid
 
Everything under very serious watch. Wakubwa wote wako alerted.

Tushikamane pamoja wote wapenda haki dhidi ya uonevu na udikteta wa wazi, ambao wengine tuliuona na kuusema kwa kuandika mapema tu basda ya uchaguzi mkuu 2010 kwa sababu walioingia madarakani hawakuingia kwa legitimacy na hawajawahi kuipata! Wanalazimisha. Haiji hivyo. Haiwezekani.
Unaweza kutuambia hapa jukwaani polisi wamefuata nini kwa Lema?
Ni vizuri tukajua sababu kabla ya kuingiza siasa na kujenga chuki kati ya serikali/polisi na wananchi.
Ukumbuke kuwa hakuna mtu alie above the law.
 
kwani we mdeki vyoo vya lumumba ndo hautobadilishwa jina hata sku1, kufa lazma ufe acha kuongea ovyo kama chizi

Chizi wewe pimbi mkubwa,hapo lumumba napasikia tu sio.kila anaepinga CDM anatoka ccm, serukamba wee
 
Kamanda Nanyaro,

Bravo,natamani niwe Arusha.Leo.Tulianzishe na kutoa Fundisho.Hatuwezi kuvumilia upuuzi huu kwa maslahi ya watawala.Naamini leo.kitaeleweka.Leo ni lazima waijue jeuri ya vijana wa Arusha katika kukata kiu ya haki
Kwa hiyo unachochea vurugu??
 
Ukisoma sheria ya kanuni za mwenendo wa makosa ya jinai inasema hivi;

Kwa kawaida upekuzi unapaswa kufanywa siku yeyote isipokuwa siku ya
Jumapili, na unaweza kufanyika masaa yeyote kuanzia jua linapochomoza
na kabla ya jua kuzama.

Hata hivyo polisi wanaweza kuomba kibali kutoka mahakamani
cha kufanyaupekuzi muda wowote.
kwa hiyo mkuu wana kibali cha mahakama!!
 
Polisi wana ruhusa ya kuingia kwenye nyumba yoyote na kufanya upekuzi.
Ni jukumu la jeshi la polisi kupekua nyumba yoyote ambayo wanatilia mashaka kuwa kuna kitu amabacho kinaweza kuleta madhara kwa jamii au kutumika kama ushahidi mahakamani. POLISI HUFANYA KAZI MASAA 24.
Sidhani kama polisi ni wajinga waanze tu kuvamia nyumba za watu bila kuwa na kibali au sababu maalum.
Ni afadhali mara efu ukae kimya kuliko huu upumbavu unaoumwaga hapa wewe gamba....
 
Jeshi linalotumia giza kufanikisha mikakati yake badala la Intelegensia sio jeshi bali mob of individuals ready to seek injustice and practise it.
Sha,e upon them
 
njiro si kuzuri sana,hakuna njia nyingi za polisi toka salama.hakuna njia nyingi za kutokea.na wanafunzi wengi wa chuo hawajahama makazi yao ya mitaani.

Polisi wakicheza watapotea wa kutosha na hivyo raia kupata ujumbe polisi wanastahili uwawa kwa kujipoteyea uhalaki na kuwa waovu.

Taarifa zilizopo ni kwamba askari wengi hawapendi tena ccm..na waliopo ktk malindo mbalimbali wanaweza tumia silaha dhidi ya serikali usiku huu km kitanuka kwa lema..
 
Serikali iliyoingia madarakani kwa njia za wizi wizi haiwezi kuwa na Legitimacy ya kutawala.Matokeo yake ni nchi kutokutawalika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom