Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,237
Video ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe hii hapa .
Nimeweka kwa sababu maalumGeresha tu hizo Wala usinge post upuuzi huo.
Huo hauendi popote hapo ndio Kila kitu kimemalizikiamo.Huu uchunguzi mwisho wake ujulikane usiishie hewani.
Hahahaha
Give them benefit of doubtNimeweka kwa sababu maalum
Nimeweka kwa sababu maalum
Lakini huyo mlinzi wa chama chenu alie kuwa zamu chadema wamesha mkamata na kumfikisha mahakamani iili kusaidia polisi upelelezii??? Isije ikawa ni kiki zenu tenaa
Na ikendelea utasikia Chadema walichoma wenyewe.Huo hauendi popote hapo ndio Kila kitu kimemalizikiamo.
Na ikendelea utasikia Chadema walichoma wenyewe.
Kama issue ya Arusha. Ofisi ilichomwa na jamaa wapendwa wanao bebwa na polisi lakini ripoti ikatoka kwamba Chadema walichoma ofisi yao.
Sabaya anajua huu mchongo.
[/QU
Hiyo ndio Tanzania yetu ya leo.
Upo sahihi ofisi za CHADEMA zimeanza kuchomwa kitambo sn lakini hatujawahi kusikia mtu yoyote amekamatwaGeresha tu hizo Wala usinge post upuuzi huo.
Mchezo umeishia hapoHuo hauendi popote hapo ndio Kila kitu kimemalizikiamo.
Ndio Tanzania yetu inayojigamba kuwa na demokrasia ilipofikia, huku ikijaribu kuihadaa jumuia iliyostaarabika ya kimataifa.Mchezo umeishia hapo
Maigizo tupu mkuuNdio Tanzania yetu inayojigamba kuwa na demokrasia ilipofikia, huku ikijaribu kuihadaa jumuia iliyostaarabika ya kimataifa.