hawana lolole na wakikukuta mjinga mjinga,kazi utaiona...chakushangaza pamoja na mbwembwe zao bado tuko nao katika nyumba zakupanga na tunakunywa nao ulazi....kama tungetaka kulipa visasi hawa wangeisha.....
Acha waonyeshe ubabe wao kwani itafika muda hawatokuwa na uhuru wa kutisha wananchi kiasi hicho.
naona walikuwa wanatest vifaa vyao vya kazi kutishia wanafunzi
Walioomba kuimarishiwa ulinzi ili wasidhuriwe na watu wa mtaani ilionekana wanaleta fujo na uvunjifu wa amani na wakapewa sadaka za mabomu na virungu ikiwa ni pamoja na kufukuzwa. Leo ulinzi umeimarishwa, Kiuhalisia wanalinda nini? ni majengo, wakufunzi. nashindwa kuclick faili husika hebu fungukeni vizuri mliopo karibu
Ukianagalia hio picha wamevaa kujikinga wao wenyewe dhidi ya wananchi endapo itatokea mapambano, hawalindi raia bali wanatekeleza maagizo na amri ya wakuu wao, hapo wakiambia piga ua wanatekeleza. Sioni sababu ya kutumia nguvu nyiingi kudhibiti wanafunzi wasio hata na nyundo!! hii yote ni ufujaji wa mali za umma maana kila polisi hapo kavaa si chini ya mamilioni ya shilingi ambayo yangetumika kudumisha sekta nyingine muhimu.
Ingekuwa haya wanafanyiwa wale wa wenye kwenda kwenye nyumba za ibada mngeunga mkono asilimia mia moja,na kusema wacha wapate kipigo,wache wakanyee debe,na wakati hao wanafunzi ni waTanzania,nao mnaosema wapigwe ni wa Tanzania,msiwe ndumila kuwili,huku mwapendelea huku mwakandamiza.Au ingekuwa ni chuo cha taasisi ya ya hao,pia mngesema waache wakanyee Debe,mbona hapa hakuna anayesema wakanyee Debe.hawana lolole na wakikukuta mjinga mjinga,kazi utaiona...chakushangaza pamoja na mbwembwe zao bado tuko nao katika nyumba zakupanga na tunakunywa nao ulazi....kama tungetaka kulipa visasi hawa wangeisha.....
Huu mkwara wote ni kwa ajili ya wanafunzi wa IAA na mbunge wa Arusha mjini..
Huu mkwara wote ni kwa ajili ya wanafunzi wa IAA na mbunge wa Arusha mjini..
Ingekuwa haya wanafanyiwa wale wa wenye kwenda kwenye nyumba za ibada mngeunga mkono asilimia mia moja,na kusema wacha wapate kipigo,wache wakanyee debe,na wakati hao wanafunzi ni waTanzania,nao mnaosema wapigwe ni wa Tanzania,msiwe ndumila kuwili,huku mwapendelea huku mwakandamiza.Au ingekuwa ni chuo cha taasisi ya ya hao,pia mngesema waache wakanyee Debe,mbona hapa hakuna anayesema wakanyee Debe.
dah, kweli hii ndo tz...wakati wenzetu hivi wanavaa wakiwa wanakwenda kwenye ishu nzito..kama kutegua mabomu hivi huku wanavaa eti kwenda kutuliza vurugu tena za ka chuo kamoja tu wanafunzi wasiofika hata 5000..Huu mkwara wote ni kwa ajili ya wanafunzi wa IAA na mbunge wa Arusha mjini..
Kwani,,,,,,,Kila anayevaa nguo mpya ni lazima ajionyeshe?Huu mkwara wote ni kwa ajili ya wanafunzi wa IAA na mbunge wa Arusha mjini..
nimekupata Mkuu wangu.Na nimekuelewa.Ndugu Ustadhi mpendwa,
Kwani hujui kuwa nchi ina sura mbili..... Jicho moja la lenga kwenu na jicho lingine la wote.!! umenipata ?
Amri haitoki kwao ujue inatokae mbali kwa wakuu. Tafadhalini kaaeni kwa "udhu"
Ingekuwa haya wanafanyiwa wale wa wenye kwenda kwenye nyumba za ibada mngeunga mkono asilimia mia moja,na kusema wacha wapate kipigo,wache wakanyee debe,na wakati hao wanafunzi ni waTanzania,nao mnaosema wapigwe ni wa Tanzania,msiwe ndumila kuwili,huku mwapendelea huku mwakandamiza.Au ingekuwa ni chuo cha taasisi ya ya hao,pia mngesema waache wakanyee Debe,mbona hapa hakuna anayesema wakanyee Debe.