ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,554
hawa sio wale walioimbishwa wimbo kule geita kweli kuhusu mishikaki...
Wana ushupavu wa kizamani!!,mwone huyo!
Hilo lisikushangaze sana Mkuu, mbona wao wanakamata wala rushwa lakini wamesahau mizizi na mashina yamo vituoni mwao. Wahahubiri kutojichukulia sheria mikononi wakati wao wanawapiga makofi na virungu watuhumiwa hata kabla ya kuwapeleka mahakamani!kama wao wanafanya hivi Je wananchi wafanyeje?
Anaungua basi tu anajikaza kisabuni.