Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 20,020
- 41,427
Ugomvi wa ngumi karibu 🍺 🍻 🍻Yeah huyu dada mama D namfahamu ni mjnga mmoja tu pia hana uwezo wowote.
Ugomvi wa ngumi karibu 🍺 🍻 🍻Yeah huyu dada mama D namfahamu ni mjnga mmoja tu pia hana uwezo wowote.
Inabidi tumuombe atupitishe kwenye machafuko kidogo labda itawafanya hata wananchi.kuelewa kinachendeleaRound hii tumuombe Mungu atuepushe na hiki kikombe
Mama D ni mtumishi tu what if angekuwa kiongozi wa serikali angeuw wengi uku kashika biblia.Mungu hayupo
na mama d na mume wake ni watoto wadogo sana kwangu
Apeleke mahakama ya wapi wakati nyie mafisi mmeshika kila konaSawa peleka huo ushahidi mahakamani ukawafunge
Umebarikiwa uwezo wa akili na ufahamu mzuri...hongera sana!Hello JF
Kwa wale ambao washawahi kuangalia drama za Crime Scene Investigation washawahi kuona ' profiling ' wanayofanya wachunguzi kujua kama crime Imekuwa committed na mtu mmoja au tofauti..........
kina Heche/Hilda kuchukuliwa 1. Kuzungushwa kwenye gari 2. Kupigwa 3.Kuachwa msituni ni similar na kina Sativa na wengine walivyofanyiwa............
Tunaweza ku conclude ni the same perpetrators waliocommit both crimes........
Sijui nani atanishawish sio polisi wa mama waliomteka Sativa.....
Serikali ya samia ina roho/damu za watu zinazolia...I wonder how she sleeps at night...
To think she will lead another term makes me sick!
Eeh anadai hajui wanawake wanaojitambua wakoje.Kumbe
HahahaEeh anadai hajui wanawake wanaojitambua wakoje.
🤨Eeh anadai hajui wanawake wanaojitambua wakoje.
Thibitisha uwepo wa MunguMama D ni mtumishi tu what if angekuwa kiongozi wa serikali angeuw wengi uku kashika biblia.
Ila Mungu yupo
Hapana,Hello JF
Kwa wale ambao washawahi kuangalia drama za Crime Scene Investigation washawahi kuona ' profiling ' wanayofanya wachunguzi kujua kama crime Imekuwa committed na mtu mmoja au tofauti..........
kina Heche/Hilda kuchukuliwa 1. Kuzungushwa kwenye gari 2. Kupigwa 3.Kuachwa msituni ni similar na kina Sativa na wengine walivyofanyiwa............
Tunaweza ku conclude ni the same perpetrators waliocommit both crimes........
Sijui nani atanishawish sio polisi wa mama waliomteka Sativa.....
Serikali ya samia ina roho/damu za watu zinazolia...I wonder how she sleeps at night...
To think she will lead another term makes me sick!
Ndo maana jana ukaogopa kwenda kisutu?Apeleke mahakama ya wapi wakati nyie mafisi mmeshika kila kona
Bro nakula vitu huku nimelala 😁😁 leo ni zangu off tuUgomvi wa ngumi karibu 🍺 🍻 🍻