Polisi wa mama ndio walioteka akina Sativa........

Polisi wa mama ndio walioteka akina Sativa........

Hello JF

Kwa wale ambao washawahi kuangalia drama za Crime Scene Investigation washawahi kuona ' profiling ' wanayofanya wachunguzi kujua kama crime Imekuwa committed na mtu mmoja au tofauti..........

kina Heche/Hilda kuchukuliwa 1. Kuzungushwa kwenye gari 2. Kupigwa 3.Kuachwa msituni ni similar na kina Sativa na wengine walivyofanyiwa............

Tunaweza ku conclude ni the same perpetrators waliocommit both crimes........

Sijui nani atanishawish sio polisi wa mama waliomteka Sativa.....

Serikali ya samia ina roho/damu za watu zinazolia...I wonder how she sleeps at night...

To think she will lead another term makes me sick!
Murilo etc watakuja kujibu siku moja
 
Hello JF

Kwa wale ambao washawahi kuangalia drama za Crime Scene Investigation washawahi kuona ' profiling ' wanayofanya wachunguzi kujua kama crime Imekuwa committed na mtu mmoja au tofauti..........

kina Heche/Hilda kuchukuliwa 1. Kuzungushwa kwenye gari 2. Kupigwa 3.Kuachwa msituni ni similar na kina Sativa na wengine walivyofanyiwa............

Tunaweza ku conclude ni the same perpetrators waliocommit both crimes........

Sijui nani atanishawish sio polisi wa mama waliomteka Sativa.....

Serikali ya samia ina roho/damu za watu zinazolia...I wonder how she sleeps at night...

To think she will lead another term makes me sick!
Mungu amlaani yeyote aliyetoa maagizo kutesa wananchi, kuwapiga, kuwaachia mbwa wawajeruhi
Yaani Mungu wetu ni mwaminifu na hukumu yake ni ya kweli.
 
mama D njoo ona wanawake wanaojitambua
Hawa wanajulikana kwa namna hii.
Screenshot_20250306-183123_1 (1).jpg
 
Huyu dada ni kichaa kidini halafu akachanganya na ccm ndio akawa goigoi kabisaaa
Mtu anajiita wa Mungu na kila siku anabariki uovu, uonevu, wizi, ubadhirifu nk hawezi kuwa mtu wa Mungu hata kidogo.
 
Mtu anajiita wa Mungu na kila siku anabariki uovu, uonevu, wizi, ubadhirifu nk hawezi kuwa mtu wa Mungu hata kidogo.
Wajinga kama hawa nawajua sana kaka mkubwa
 
Hapana,
huenda ni walinzi binafsi wa heche ambao ni makatili vibaya sana ambao pia walimpiga na kumuumiza vibaya sana binti Sigrada Mligo pale Njombe, huenda ni hao hao ndio walimdhulumu kibao na huyo sativa,

Si hivyo tu,
ilifikia mahali hata mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa alikua anavaa bullet proof vest, haikufahamika mapema alitishwa na walinzi binafsi wa heche ambao ni katili sana au vinginevyo,

But mwenyekiti mpya wa Chadema alikua akivaa bullet proof vest kuingia Chadema HQ sijui alikua anaogopa nini, sasa hivi havai tena 🐒
Nonsense, usikanyage kwenye uzi wangu kuandika mashudu yako...pumbafu!
 
Na Chalaboy keshasema huko kwa yeyote aloumizwa na polis aende akajieleze polisi na walioumizwa mara moja wachunguzwe kusubiri taratibu za kisheria



Umbwa Mimi
 
Huyu uliemquote anajua kusifu na kuabudu tu, na kujifanya amekariri vifungu vya biblia huku akitetea watawala dhalimu..ni wale wanaoenda kwenye nyumba za ibada kujionyesha tu.
Anajifanya mjanja ila anaenda kanisani na UDONGO Wa upakoi kisha anauziwa maji ya 300k na mafuta ya alizet yasliyobatizwa upako
 
Mkuu hazbaaa akikuzingua kidogo tuu nicheki asee sina ploblem na singo mazaz

Akili unayo Mingi😍😍😍
 
mama D njoo ona wanawake wanaojitambua
Coment yako inaonyesha wazi una mawazo hafifu, inatokana na kile unachokijua. Kubali hujui kila kitu na neno lako sio sheria

Halafu ukome kugombanisha wanawake


Atakupa mistari ya biblia kujipendelea , mdhambi kama mwijaku na HAUMIi ila anajifagilia wakati nafasi inamsuta mama D sio mtumishi wa Mungu ni Moja ya wafanyakazi wa serikali ya ccm Dodoma anayejufanya mlokole.

Kalagabaho🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom